Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
mwanablogu@ngimbis alihoji kile hasa walichokuwa wakikiona watu kwenye ukuta:
blogger @ngimbis questioned what exactly people were seeing on the wall:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
lakini vyanzo vingine ndani ya polisi ya kenya vilianza kugundua kuwa walichokuwa wakipambana nacho ni zaidi ya ujambazi wa kutumia silaha.
but other sources within the kenyan police started to realize that what they were confronting was more than an armed robbery.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
mkurugenzi wa kamati ya helsinki alipouliza kile walichokuwa wakikifanya, alisukumwa kwa nguvu na kuanguka, mbele ya watu na mbele ya kamera.
when the director of helsinki committee asked what they are doing, she was roughly pushed to the ground, in front of people and in front of cameras.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
huu ni mfano halisi wa maisha wa kile ambacho wapinzani wa mashairi ya wimbo walichokuwa wakisema, na wanaomchukia malema wataridhika katika g&t zao.
it is a real life example of what the song’s critics have been saying, and malemaphobes will gloat into their g&t’s.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
mwaka 1986, wa_zambia wanaoishi kwenye majimbo ya copperbelt na lusaka waligoma kwa sababu bei ya mahindi ilikuwa imeongezeka mara dufu wakati kipato walichokuwa wanakipata kilibaki vile kilivyokuwa.
in 1986, zambians in the copperbelt and lusaka regions rioted because the price of maize increased several fold when incomes were stagnant.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
je, wanapenda (wananchi wa kawaida) kweli kupigiwa kelele za kuondoka barabarani kwa sababu rais, waziri au mkuu wa mkoa anaendeshwa mchana? (…) je, wanajisikia fahari na uzalendo kila wakati wanapotakiwa kuacha walichokuwa wanafanya na kusimama wima kwa sababu tu mkubwa mteule mpya ambaye huenda hata hawajawahi kumwona hapo kabla anapigiwa wimbo wa taifa? (…) utu hauhitaji ubinafsi kuuondoa: na ubinafsi wa namna zake zote ni mbaya.
do they really love being shouted at to get off the road because the president, a minister or a regional commissioner is taking an afternoon drive? (…) do they really feel a surge of pride and patriotism every time they are expected to stop what they are doing and stand at attention just become some newly-appointed official whom they many not even have seen before is being serenaded with the national anthem? (…) dignity does not need pomposity to uphold it: and pomposity in all its forms is wrong.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество: