Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
naamini waliokufa ni wengi zaidi.
death toll would be above that.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
damu inatiririka na miili ya watu waliokufa imetapakaa.
so much blood and dead bodies.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
hakuna atakayekuwa hai miongoni mwa miili hii ya watu waliokufa.
joydeep dey shaplu cannot control his rage in facebook: nobody can be alive among all these dead bodies.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
makaburi yakafunguka na watu wengi wa mungu waliokufa wakafufuliwa;
and the graves were opened; and many bodies of the saints which slept arose,
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na kristo wamepotea kabisa.
then they also which are fallen asleep in christ are perished.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
hebu tafakari kuhusu tembo waliokufa ili kupata shehena ya tani 25 ya pembe za ndovu.
think about the elephants that died to create that 25 tonne pile of tusks.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
miili ya watu waliokufa inajirundika kwa idadi kubwa kabisathe bodies pile up in greater numbers.
the bodies pile up in greater numbers.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
kama wasiojulikana, kumbe twajulikana kwa wote, kama waliokufa, lakini mwonavyo, sisi ni wazima kabisa.
as unknown, and yet well known; as dying, and, behold, we live; as chastened, and not killed;
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
unaweza kusikia harufu mbaya za maiti waliokufa katika eneo la katikati ya mji ambapo kulikuwa na uharibifu mkubwa zaidi.
you can smell the dead people in the downtown area where much damage occurred.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
al octaviano, mkazi wa mkoa wa leyte, alisema kuwa mingi ya miili ya waliokufa hairipotiwi kwa mamlaka:
al octaviano, a resident of leyte province, said that many dead bodies are not being reported to authorities:
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
nchini ulaya, asilimia 57 ya watu walioambukizwa walikuwa wanaume na asilimia 72 ya waliokufa kwa sababu ya covid-19 walikuwa wanaume.
in europe, 57% of the infected individuals were men and 72% of those died with covid-19 were men.
Последнее обновление: 2020-08-25
Частота использования: 1
Качество:
inaweza kushangaza sana kuwa na watu wengi waliokufa wakipiga kura zaidi ya wale walio hai — rakim allah (@ldaviano) august 6, 2013
might be traumatising to hv more dead people voting than the living#zim elections — rakim allah (@ldaviano) august 6, 2013
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya mungu, naye bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini kristo watafufuliwa kwanza.
for the lord himself shall descend from heaven with a shout, with the voice of the archangel, and with the trump of god: and the dead in christ shall rise first:
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
nimekuwa nikisikia habari za kwa vipi, na lini miili ya watu waliokufa ilivyoletwa katika vijiji vya watu wa alawite, vijiji vyote vikaanza kumlaani bashar al assad na serikali yake kwa kuwa hawezi kuwalinda na wanajitolea kwa mtu asiyeweka juhudi yoyote.
they are in the middle. they know that the government is not helping them, but at the same time they are afraid of the opposition. i have been hearing stories about how, when the dead bodies come to the villages of the alawites, all the village starts to curse bashar al assad and curse his government because he’s not protecting them and they are sacrificing themselves for someone who is not making any efforts.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
vyombo vya habari vya lebanoni havina ustaarabu au aina yoyote ya maadili, tayari vinawaita watu ambao hawajapatikana kama “waliokufa” #et409 #lebanon
lebanese media has no decency or any sense of ethics, they're already referring to the missing ppl as "dead" #et409 #lebanon
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
"wanakiri kuwa kuwa watu milioni mbili waliokufa katika daftari la wapiga kura, lakini 'kwa sababu wamekufa, hawawezi kupiga kura'."
"they admit there's 2m people who are dead on the voters' roll, but 'because they're dead, they can't vote'."
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
katika mgomo baridi wa kimyakimya ulioshirikisha umma, 'akina mama wanaoomboleza wa irani', ambao wanajulikana huko tehran kama "akina mama wa laleh", kwa njia za amani wanatafuta haki kwa ajili ya watoto wao waliokufa au waliofungwa.
in silent public protest, the ‘mourning mothers of iran,’ known in tehran as the ‘mothers of laleh,’ peaceably seek justice for their dead or incarcerated children.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование