Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
tena nitawaua wafuasi wake, ili makanisa yote yatambue kwamba mimi ndiye ninayechunguza mioyo na fikira za watu.
واولادها اقتلهم بالموت فستعرف جميع الكنائس اني انا هو الفاحص الكلى والقلوب وسأعطي كل واحد منكم بحسب اعماله
kwa vile watu walikataa kumtambua mungu, mungu amewaacha katika fikira zao potovu, wakafanya yale ambayo hawangestahili kufanya.
وكما لم يستحسنوا ان يبقوا الله في معرفتهم اسلمهم الله الى ذهن مرفوض ليفعلوا ما لا يليق.
ndugu, msiwe kama watoto katika fikira zenu. kuhusu uovu muwe kama watoto wachanga lakini katika kufikiri ni lazima muwe kama watu waliokomaa.
ايها الاخوة لا تكونوا اولادا في اذهانكم بل كونوا اولادا في الشر. واما في الاذهان فكونوا كاملين.
lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya hawa, fikira zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa kristo.
ولكنني اخاف انه كما خدعت الحية حواء بمكرها هكذا تفسد اذهانكم عن البساطة التي في المسيح.
mwenendo wao unaonyesha kwamba matakwa ya sheria yameandikwa mioyoni mwao. dhamiri zao zinashuhudia pia jambo hilo, maana fikira zao mara nyingine huwashtaki, na mara nyingine huwatetea.
الذين يظهرون عمل الناموس مكتوبا في قلوبهم شاهدا ايضا ضميرهم وافكارهم فيما بينها مشتكية او محتجة.
mwisho nasema hivi: mnapaswa kuwa na moyo mmoja, na fikira moja; mnapaswa kupendana kidugu, kuwa wapole na wanyenyekevu ninyi kwa ninyi.
والنهاية كونوا جميعا متحدي الرأي بحس واحد ذوي محبة اخوية مشفقين لطفاء
kutokana na neema aliyonijalia mungu, nawaambieni ninyi nyote: msijione kuwa ni kitu zaidi kuliko mnavyopaswa kuwa. fikira zenu na ziwe na kiasi kufuatana na kipimo cha imani mungu aliyomgawia kila mmoja.
فاني اقول بالنعمة المعطاة لي لكل من هو بينكم ان لا يرتئي فوق ما ينبغي ان يرتئي بل يرتئي الى التعقل كما قسم الله لكل واحد مقدارا من الايمان.
ndugu, ninawasihi kwa jina la bwana wetu yesu kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
ولكنني اطلب اليكم ايها الاخوة باسم ربنا يسوع المسيح ان تقولوا جميعكم قولا واحدا ولا يكون بينكم انشقاقات بل كونوا كاملين في فكر واحد ورأي واحد.
lakini yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea petro akisema, "ondoka mbele yangu, shetani! fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!"
فالتفت وابصر تلاميذه فانتهر بطرس قائلا اذهب عني يا شيطان. لانك لا تهتم بما لله لكن بما للناس
je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema "ndiyo" na "siyo" papo hapo?
فاذ انا عازم على هذا ألعلي استعملت الخفة ام اعزم على ما اعزم بحسب الجسد كي يكون عندي نعم نعم ولا لا.