Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia paulo, "unamtukana kuhani mkuu wa mungu!"
los que estaban presentes le dijeron: --¿insultas tú al sumo sacerdote de dios
yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho.
quien no ha sido constituido conforme al mandamiento de la ley acerca del linaje carnal, sino según el poder de una vida indestructible
basi, wakampeleka yesu kwa kuhani mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa sheria walikuwa wamekutanika.
llevaron a jesús ante el sumo sacerdote; y se reunieron con él todos los principales sacerdotes, los ancianos y los escribas
kila kuhani mkuu ameteuliwa kumtolea mungu vipawa na dhabihu, na hivyo kuhani mkuu wetu lazima pia awe na kitu cha kutolea.
porque todo sumo sacerdote es puesto para ofrecer ofrendas y sacrificios; de ahí que era necesario que él también tuviera algo que ofrecer
kuhani mkuu akasimama, akamwuliza yesu, "je, hujibu neno? watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
se levantó el sumo sacerdote y le dijo: --¿no respondes nada? ¿qué testifican éstos contra ti
kila kuhani mkuu huchaguliwa kutoka miongoni mwa watu kwa ajili ya kumtumikia mungu kwa niaba yao, kutolea zawadi na tambiko kwa ajili ya dhambi zao.
pues todo sumo sacerdote que es tomado de entre los hombres es constituido para servicio a favor de los hombres delante de dios, para que ofrezca ofrendas y sacrificios por los pecados
yeye hakusema hivyo kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa kuhani mkuu mwaka huo, alibashiri kwamba yesu atakufa kwa ajili ya taifa lao;
pero esto no lo dijo de sí mismo; sino que, como era el sumo sacerdote de aquel año, profetizó que jesús había de morir por la nación
simoni petro pamoja na mwanafunzi mwingine walimfuata yesu. huyo mwanafunzi mwingine alikuwa anajulikana kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia pamoja na yesu ndani ya ukumbi wa kuhani mkuu.
simón pedro y otro discípulo seguían a jesús. este discípulo era conocido del sumo sacerdote y entró con jesús al patio del sumo sacerdote
basi, kuhani mkuu akasimama katikati yao, akamwuliza yesu, "je, hujibu neno? watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
entonces el sumo sacerdote se levantó en medio y preguntó a jesús diciendo: --¿no respondes nada? ¿qué testifican éstos contra ti
baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. anafanana na mwana wa mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima.
sin padre ni madre ni genealogía, no tiene principio de días ni fin de vida; y en esto se asemeja al hijo de dios, en que permanece sacerdote para siempre
lakini yesu akakaa kimya. kuhani mkuu akamwambia, "nakuapisha kwa mungu aliye hai, twambie kama wewe ndiwe kristo, mwana wa mungu!"
pero jesús callaba. y el sumo sacerdote le dijo: --¡te conjuro por el dios viviente que nos digas si tú eres el cristo, el hijo de dios