Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
msidharau unabii.
no menospreciéis las profecías
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
hao ndio tulio wapa vitabu na hukumu na unabii.
fue a éstos a quienes dimos la escritura, el juicio y el profetismo.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.
Éste tenía cuatro hijas solteras que profetizaban
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
na bila ya shaka tulimtuma nuhu na ibrahim, na tukaweka katika dhuriya zao unabii na kitabu.
ya hemos enviado a noé y a abraham y confiado a su descendencia el profetismo y la escritura.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
basi, tunavyo vipaji mbalimbali kufuatana na neema tuliyopewa. mwenye kipaji cha unabii na akitumie kadiri ya imani yake.
de manera que tenemos dones que varían según la gracia que nos ha sido concedida: si es de profecía, úsese conforme a la medida de la fe
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
"sikiliza! naja upesi. heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki."
¡he aquí vengo pronto! bienaventurado el que guarda las palabras de la profecía de este libro.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
na hakika tuliwapa wana wa israili kitabu na hukumu na unabii, na tukawaruzuku vitu vizuri vizuri, na tukawafadhilisha kuliko walimwengu wote.
dimos a los hijos de israel la escritura, el juicio y el profetismo. les proveímos de cosas buenas y les distinguimos entre todos los pueblos.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
haiwezi kuwa mtu aliye pewa na mwenyezi mungu kitabu na hikima na unabii kisha awaambie watu: kuweni wa kuniabudu mimi badala ya mwenyezi mungu.
no está bien que un mortal a quien alá da la escritura, el jucio y el profetismo, vaya diciendo a la gente: «¡sed siervos míos y no de alá!»
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
mimi yohane nawapa onyo wote wanaosikia maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki: mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya, mungu atamwongezea mabaa yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
yo advierto a todo el que oye las palabras de la profecía de este libro: si alguno añade a estas cosas, dios le añadirá las plagas que están escritas en este libro
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.
y si alguno quita de las palabras del libro de esta profecía, dios le quitará su parte del árbol de la vida y de la santa ciudad, de los cuales se ha escrito en este libro
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
na tulimtunukia (ibrahim) is-haq na yaa'qub. na tukajaalia katika dhuriya zake unabii na kitabu, na tukampa ujira wake katika dunia; naye hakika katika akhera bila ya shaka ni katika watu wema.
le regalamos isaac y jacob, e instituimos en su descendencia el profetismo y la escritura. le recompensamos en la vida de acá, y en la otra es de los justos.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество: