Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
mwenyezi mungu hakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi. bali anakushikeni kwa yanayo chuma nyoyo zenu.
allah non vi punirà per la leggerezza nei vostri giuramenti, vi punirà per ciò che i vostri cuori avranno espresso.
yeye anajua inayo chuma kila nafsi. na makafiri watajua ni ya nani nyumba ya mwisho akhera!
egli conosce ciò che ogni anima ha meritato e ben presto i miscredenti sapranno a chi appartiene la dimora ultima.
naam, anaye chuma ubaya - na makosa yake yakamzunguka - hao ndio watu wa motoni; humo watadumu.
badate, chi opera il male ed è circondato dal suo errore, questi sono i compagni del fuoco, vi rimarranno in perpetuità.
aliwahi kusema kwamba "kadri utawala unavyonoa ngumi zake za chuma, ndivyo penseli yangu inavyozidi kuwa na makali!"
una volta ha affermato che "più il governo intensifica il suo pugno di ferro, più la mia penna diventa affilata."
naam, nitawapa uwezo uleule nilioupokea kwa baba: yaani, watayatawala mataifa kwa fimbo ya chuma na kuyavunjavunja kama chombo cha udongo.
le pascolerà con bastone di ferro e le frantumerà come vasi di terracotta
kisha mama huyo akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa mungu na kwenye kiti chake cha enzi.
essa partorì un figlio maschio, destinato a governare tutte le nazioni con scettro di ferro, e il figlio fu subito rapito verso dio e verso il suo trono
hakukuwa na vifaa vya kutafuatia vitu vya chuma alivyobeba mtu wala uwepo wa mashine maalum ambazo tulipaswa kupita kwanza katika milango ya maduka, katika majumba ya maonesho na mambo mengine yanayohusiana na hayo.
non c'erano metal detector o macchinari speciali che si dovevano attraversare all'entrata dei negozi, o dei musei, o di qualsiasi altra parte.
upanga mkali hutoka kinywani mwake, na kwa upanga huo atawashinda mataifa. yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha kukamulia zabibu za ghadhabu kuu ya mungu mwenye uwezo.
dalla bocca gli esce una spada affilata per colpire con essa le genti. egli le governerà con scettro di ferro e pigerà nel tino il vino dell'ira furiosa del dio onnipotente