Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
"msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. sikuja kuleta amani bali upanga.
non crediate che io sia venuto a portare pace sulla terra; non sono venuto a portare pace, ma una spada
majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao.
tutti gli altri furono uccisi dalla spada che usciva di bocca al cavaliere; e tutti gli uccelli si saziarono delle loro carni
mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na yesu akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
uno dei presenti, estratta la spada, colpì il servo del sommo sacerdote e gli recise l'orecchio
na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako."
perché siano svelati i pensieri di molti cuori. e anche a te una spada trafiggerà l'anima»
mmoja wa wale waliokuwa pamoja na yesu akanyosha mkono, akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
ed ecco, uno di quelli che erano con gesù, messa mano alla spada, la estrasse e colpì il servo del sommo sacerdote staccandogli un orecchio
askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua.
il carceriere si svegliò e vedendo aperte le porte della prigione, tirò fuori la spada per uccidersi, pensando che i prigionieri fossero fuggiti
"kwa malaika wa kanisa la pergamoni andika hivi: "huu ndio ujumbe wake yeye aliye na upanga mkali wenye kuwili.
all'angelo della chiesa di pèrgamo scrivi: così parla colui che ha la spada affilata a due tagli
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
per mezzo di questi prodigi, che le era permesso di compiere in presenza della bestia, sedusse gli abitanti della terra dicendo loro di erigere una statua alla bestia che era stata ferita dalla spada ma si era riavuta
walipigwa mawe, walipasuliwa vipandevipande, waliuawa kwa upanga. walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi, walikuwa watu maskini, walioteswa na kudhulumiwa.
furono lapidati, torturati, segati, furono uccisi di spada, andarono in giro coperti di pelli di pecora e di capra, bisognosi, tribolati, maltrattati
waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. kutokana na hayo ni lazima watu wa mungu wawe na uvumilivu na imani."
colui che deve andare in prigionia, andrà in prigionia; colui che deve essere ucciso di spada di spada sia ucciso
kila nafsi na ijitiishe kwa mamlaka zilizo kubwa, kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kwa njia ya mungu; mamlaka zilizopo zimesimamishwa na mungu katika vyeo vyao vya kadiri. kwa hiyo yeye anayepinga mamlaka amechukua msimamo kupingana na mpango wa mungu; wale ambao wamechukua msimamo kupingana nao watapokea hukumu juu yao wenyewe. kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa kitendo chema, bali kwa kibaya. basi, je, unataka usiogope hiyo mamlaka? endelea kufanya mema, nayo itakusifu wewe; kwa maana hiyo ni mhudumu wa mungu kwako kwa faida yako. lakini ikiwa unafanya mabaya, ogopa: kwa maana haichukui upanga bila kusudi; kwa maana hiyo ni mhudumu wa mungu, mlipiza-kisasi ili kuonyesha ghadhabu juu ya yeye anayefanya mabaya.
ogni anima sia sottoposta alle autorità superiori, poiché non c’è autorità se non da dio; le autorità esistenti sono poste nelle loro rispettive posizioni da dio. perciò chi si oppone all’autorità si mette contro la disposizione di dio; quelli che si mettono contro di essa ne riceveranno giudizio. poiché quelli che governano sono oggetto di timore, non per l’opera buona, ma per la cattiva. non vuoi dunque aver timore dell’autorità? continua a fare il bene, e ne avrai lode; poiché essa è ministro di dio per te per il bene. ma se fai il male, abbi timore: poiché non senza scopo essa porta la spada; poiché è ministro di dio, vendicatrice per esprimere ira su chi pratica il male.