Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na ninyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu.
mir aber ist's ein geringes, daß ich von euch gerichtet werde oder von einem menschlichen tage; auch richte ich mich selbst nicht.
enrique aranda ochoa anafikiria kuihamishia kesi yake katika mahakama ya amerika inayoshughulikia maswala ya haki za binadamu.
die bloggerin gabriela gutierrez m. von animal político beschreibt das wirken des schriftstellers im gefängnis:
anathubutuje mmoja wenu kumshtaki ndugu muumini mbele ya mahakama ya watu wasiomjua mungu badala ya kumshtaki mbele ya watu wa mungu?
wie darf jemand unter euch, so er einen handel hat mit einem andern, hadern vor den ungerechten und nicht vor den heiligen?
ninazungumzia kuhusu hukumu ya kihistoria ya mahakama iliyotolewa na mahakama ya jinai ya minya dhidi ya washitakiwa 529, ndio ile ambayo duniani yote inaizungumzia.
ich spreche über den historischen urteilsspruch des strafgerichts von minya gegen 529 angeklagte, ja genau den, über den die ganze welt gerade spricht.
edom (kushoto) akiwa na mahlet akisindikizwa kwenye chumba cha mahakama ndani ya viunga vya mahakama kuu jijini addis ababa.
edom (links) und mahlet werden zum gerichtsgebäude gebracht, das sich auf dem gelände des obersten gerichts in addis abeba befindet.
wanablogu na waandishi tisa, wanne wakiwa wanachama wa global voices, wamefunguliwa mashitaka ya ugaidi na shughuli zinazohusiana na ugaidi mbele ya mahakama kuu ya lideta nchini ethiopia hapo jana.
neun blogger und journalisten, vier von ihnen sind mitglieder von global voices, sind gestern vor dem obersten gerichtshof in lideta wegen der unterstützung terroristischer aktivitäten angeklagt worden.
kisheria, hatua hii inapelekwa kwenye mahakama za ufaransa, chini ya jitihada zilizoratibiwa na haki za kidijitali ulaya (edri, kundi linalofanya kazi zake jijini brussels.
auf juristischer ebene ist durch die koordinierten anstrengungen der european digital rights (edri), einer gruppierung aus brüssel, eine klage bei den französischen gerichtshöfen erhoben worden.
mapema leo, prita mulyasari, mama wa nyumbani aliyeshtakiwa kwa kuandika barua pepe ya kulalamikia huduma mbaya iliyotolewa na hospitali, alipatikana na hatia ya kuchafua jina la hospitali hiyo ya binafsi na mahakama kuu ya tangerang.
heute morgen wurde die hausfrau prita mulyasari vom high court tangerang wegen verleumdung eines privaten krankenhauses verurteilt, weil sie per e-mail eine beschwerde über schlechte behandlung in dem krankenhaus geschrieben hatte.
baada ya kushambuliwa kwa charlie hebdo, pamoja na serikali kukabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa makundi ya kiraia, mwezi mei 2015 bunge la ufaransa lilipitisha muswada unaoiruhusu serikali kusikiliza simu na kusoma barua pepe za watu wanaohisiwa kuwa magaidi bila kulazimika kupata ruhusa kutoka kwa jaji wa mahakama ya sheria.
in der folge des angriffs auf charlie hebdo und trotz der vehementen opposition von bürgerrechtsgruppen verabschiedete das französische parlament im mai 2015 ein gesetz, das es der regierung erlaubt, die telefonanrufe und e-mails mutmaßlicher terroristen ohne vorausgehende autorisierung durch einen richter zu überwachen.
siku ya februari 23 2012, mahakama ya ulaya ya haki za binadamu, mjini strasbourg, ilifikia uamuzi wa kihistoria. mahakama hii iliamua kwamba nchi ya italia ilikiuka sheria za mkataba wa ulaya wa haki za binadamu ilipowakamata wakimbizi waeritrea na wasomali na kuwarudisha libya.
am 23. februar hat der europäische gerichtshof für menschenrechte in straßburg ein historisches urteil gefällt: die richter haben italien einstimmig für das abfangen und zurücksenden schwarzafrikanischer migranten verurteilt, welches einen eklatanten verstoß gegen die von italien unterzeichneten internationalen konventionen und verträge darstellt.
mnamo mei 30, mahakama ilimtoza amina faini ya dinari 300 za tunisia (150 euro) kwa "kumiliki kifaa hatari kisichoruhusiwa" -kemikali za kupulizia.
am 30. mai hatte ein gericht amina eine geldstrafe von 300 tunesischen dinar (150 €) für den "unerlaubten besitz eines entflammbaren objekts" auferlegt - pfefferspray.