Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa maandiko matakatifu.
da öffnete er ihnen das verständnis, daß sie die schrift verstanden,
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
lakini yatatimiaje maandiko matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"
wie würde aber die schrift erfüllet? es muß also gehen.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
und fing an von mose und allen propheten und legte ihnen alle schriften aus, die von ihm gesagt waren.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
und damit stimmen der propheten reden, wie geschrieben steht:
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
kama maandiko matakatifu yasemavyo: "yakobo nilimpenda, lakini esau nilimchukia."
wie denn geschrieben steht: "jakob habe ich geliebt, aber esau habe ich gehaßt."
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi yake akajadiliana nao sabato tatu mfululizo, akatumia maandiko matakatifu.
wie nun paulus gewohnt war, ging er zu ihnen hinein und redete mit ihnen an drei sabbaten aus der schrift,
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
(walikuwa bado hawajaelewa maandiko matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
denn sie wußten die schrift noch nicht, daß er von den toten auferstehen müßte.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
mungu aliwaita miungu wale waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba maandiko matakatifu yasema ukweli daima.
so er die götter nennt, zu welchen das wort geschah, und die schrift kann doch nicht gebrochen werden,
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
jambo hilo lilitendwa ili maandiko matakatifu yatimie: "hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa."
denn solches ist geschehen, daß die schrift erfüllet würde: "ihr sollt ihm kein bein zerbrechen."
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
maana yote yalioandikwa yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja tupewayo na maandiko hayo matakatifu tupate kuwa na matumaini.
was aber zuvor geschrieben ist, das ist uns zur lehre geschrieben, auf daß wir durch geduld und trost der schrift hoffnung haben.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
yesu akawajibu, "je, hamkusoma katika maandiko matakatifu kwamba mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,
er antwortete aber und sprach zu ihnen: habt ihr nicht gelesen, daß, der im anfang den menschen gemacht hat, der machte, daß ein mann und ein weib sein sollte,
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na maandiko matakatifu;
denn ich habe euch zuvörderst gegeben, was ich empfangen habe: daß christus gestorben sei für unsre sünden nach der schrift,
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
myahudi mmoja aitwaye apolo, mzaliwa wa aleksandria, alifika efeso. alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa maandiko matakatifu.
es kam aber gen ephesus ein jude mit namen apollos, von geburt aus alexandrien, ein beredter mann und mächtig in der schrift.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
na watu watahubirije kama hawakutumwa? kama yasemavyo maandiko matakatifu: "ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri habari njema!"
wie sollen sie aber predigen, wo sie nicht gesandt werden? wie denn geschrieben steht: "wie lieblich sich die füße derer, die den frieden verkündigen, die das gute verkündigen!"
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
maandiko matakatifu yesema hivi, "ujumbe huo wa mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.
aber was sagt sie? "das wort ist dir nahe, in deinem munde und in deinem herzen." dies ist das wort vom glauben, das wir predigen.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
und er kam gen nazareth, da er erzogen war, und ging in die schule nach seiner gewohnheit am sabbattage und stand auf und wollte lesen.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
so ihr das königliche gesetz erfüllet nach der schrift: "liebe deinen nächsten wie dich selbst," so tut ihr wohl;
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata mose alithibitisha jambo hilo katika maandiko matakatifu. katika sehemu ya maandiko matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja bwana kama mungu wa abrahamu, isaka na yakobo.
daß aber die toten auferstehen, hat auch mose gedeutet bei dem busch, da er den herrn heißt gott abrahams und gott isaaks und gott jakobs.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
akawaambia, "imeandikwa katika maandiko matakatifu: nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi."
und sprach zu ihnen: es steht geschrieben: "mein haus soll ein bethaus heißen"; ihr aber habt eine mördergrube daraus gemacht.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование