Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule yerusalemu, wakawaambia wayazingatie.
i kad prolaahu po gradovima, predavae im da dre uredbe koje uredie apostoli i stareine u jerusalimu.
wakati paulo alipofika, wayahudi waliokuwa wametoka yerusalemu walimzunguka wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.
a kad ga dovedoe, stadoe unaokolo jevreji koji behu doli iz jerusalima, i mnoge teke krivice iznoahu na pavla, kojih ne mogahu posvedoèiti,
neno la mungu likazidi kuenea na idadi ya waumini huko yerusalemu ikaongezeka zaidi, na kundi kubwa la makuhani wakaipokea imani.
i reè boja rastijae, i mnoae se vrlo broj uèenika u jerusalimu. i svetenici mnogi pokoravahu se veri.
"wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto, jinsi nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko yerusalemu.
moje dakle ivljenje od mladosti, koje je isprva bilo medju narodom mojim u jerusalimu, znadu svi jevreji.
au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi yerusalemu?
ili onih osamnaest to na njih pade kula siloamska i pobi ih, mislite li da su oni najkrivlji bili od svih jerusalimljana?
"sikilizeni! tunakwenda yerusalemu, na huko mwana wa mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa sheria, nao watamhukumu auawe.
evo idem u jerusalim, i sin èoveèiji biæe predan glavarima svetenièkim i knjievnicima; i osudiæe ga na smrt;
festo alitaka kujipendekeza kwa wayahudi na hivyo akamwuliza paulo, "je, ungependa kwenda yerusalemu na huko ukahukumiwe mbele yangu kuhusu mashtaka haya?"
ali fist, hoteæi jevrejima uèiniti na volju, odgovori pavlu i reèe: hoæe da ide gore u jerusalim i onde da ti sudim za to?
wakati walipokutana pamoja aliwaamuru hivi: "msiondoke yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi baba, zawadi ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake.
i sabravi ih zapovedi im da ne idu iz jerusalima, nego da èekaju obeæanje oèevo, koje èuste, reèe, od mene;