Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake.
et que, revenus à leur bon sens, ils se dégageront des pièges du diable, qui s`est emparé d`eux pour les soumettre à sa volonté.
kisha ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. huyo shetani akamwambia,
le diable, l`ayant élevé, lui montra en un instant tous les royaumes de la terre,
anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa ibilisi.
il faut aussi qu`il reçoive un bon témoignage de ceux du dehors, afin de ne pas tomber dans l`opprobre et dans les pièges du diable.
yesu akawaambia, "je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? hata hivyo, mmoja wenu ni ibilisi!"
jésus leur répondit: n`est-ce pas moi qui vous ai choisis, vous les douze? et l`un de vous est un démon!
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
celui qui pèche est du diable, car le diable pèche dès le commencement. le fils de dieu a paru afin de détruire les oeuvres du diable.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
pendant le souper, lorsque le diable avait déjà inspiré au coeur de judas iscariot, fils de simon, le dessein de le livrer,
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
c`est par là que se font reconnaître les enfants de dieu et les enfants du diable. quiconque ne pratique pas la justice n`est pas de dieu, non plus que celui qui n`aime pas son frère.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
vous savez comment dieu a oint du saint esprit et de force jésus de nazareth, qui allait de lieu en lieu faisant du bien et guérissant tous ceux qui étaient sous l`empire du diable, car dieu était avec lui.
ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
et le diable, qui les séduisait, fut jeté dans l`étang de feu et de soufre, où sont la bête et le faux prophète. et ils seront tourmentés jour et nuit, aux siècles des siècles.
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
et il fut précipité, le grand dragon, le serpent ancien, appelé le diable et satan, celui qui séduit toute la terre, il fut précipité sur la terre, et ses anges furent précipités avec lui.