Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
silne zbaci s prijestolja, a uzvisi neznatne.
amewashusha wenye nguvu kutoka vitu vyao vya enzi, akawakweza wanyenyekevu.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
tada dvadeset i èetiri starjeine, to pred bogom sjedoe na prijestolja,
kisha wale wazee ishirini na wanne walioketi mbele ya mungu katika viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu mungu,
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
taj to sjede bijae nalik na jaspis i sard. a uokolo prijestolja duga slièna smaragdu.
huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri jekundu. upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
a glavno u ovom izlaganju jest: takva imamo velikog sveæenika koji sjede zdesna prijestolja velièanstva na nebesima
basi, jambo muhimu katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye kuhani mkuu wa namna hiyo, ambaye anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha mwenyezi mungu mbinguni.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
i svi anðeli, to stajahu uokolo prijestolja i starjeina i èetiriju biæa, padoe pred prijestoljem nièice, na svoja lica,
malaika wote wakasimama kukizunguka kiti cha enzi, wazee na vile viumbe hai vinne. wakaanguka kifudifudi mbele ya kiti cha enzi, wakamwabudu mungu,
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
i vidjeh, i zaèuh glas anðela mnogih uokolo prijestolja, i biæa i starjeina. bijae ih na mirijade mirijada i tisuæe tisuæa.
kisha nikatazama, nikasikia sauti ya malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu na maelfu. walikuwa wamekaa kuzunguka kiti cha enzi, vile viumbe hai vinne na wale wazee;
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
od prijestolja izlaze munje, i glasovi, i gromovi; pred prijestoljem gori sedam ognjenih zubalja, to jest sedam duhova bojih,
umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. taa hizo ni roho saba za mungu.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
i sedmi izli svoju èau na zrak. uto iz hrama, s prijestolja, iziðe jak glas i viknu: "svreno je!"
kisha malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani. sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi, hekaluni, ikisema, "mwisho umefika!"
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
a pred prijestoljem kao neko stakleno more, nalik na prozirac. u sredini prijestolja, oko prijestolja, èetiri biæa, sprijeda i straga puna oèiju:
mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
i vidjeh: posred prijestolja i èetiriju biæa i posred starjeina stoji, kao zaklan, jaganjac sa sedam rogova i sedam oèiju, to jest sedam duhova bojih, po svoj zemlji poslanih.
kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe hai vinne, na wale wazee. huyo mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество:
i vidjeh prijestolja - onima to sjedoe na njih dano je suditi - i due pogubljenih zbog svjedoèanstva isusova i zbog rijeèi boje i sve koji se ne poklonie zvijeri ni kipu njezinu te ne primie iga na èela svoja ni na ruke. oni oivjee i zakraljevae s kristom tisuæu godina.
kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza yesu na kwa sababu ya neno la mungu. hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. walipata tena uhai, wakatawala pamoja na kristo kwa muda wa miaka elfu moja.
Последнее обновление: 2012-05-05
Частота использования: 1
Качество: