Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
kujadili sheria, kujadili bajeti, kuamua kuhusu zoezi la uchaguzi na kutolewa kwa haki ya mpito na kubadilika kwa diplomasia.
debating laws, debating a budget, deciding on an electoral process and transitional justice and changing diplomacy.
wananchi wa uganda sasa hawana hakika nini kitatokea kuhusiana na diplomasia ya mahusiano ya nchi hiyo na nyingine, hususani magharibi, zinazoamini sheria hiyo inavunja haki za msingi za binadamu.
ugandans now wonder what will happen to the relationship between their country and others, mostly western, that believe the law violates basic human rights.
selvarasa pathmanathan, mkuu wa kitengo cha diplomasia cha ltte, alitoa tamko jumapili kuwa chui “tutanyamazisha bunduki zetu ili kuwanusuru watu wetu.”
selvarasa pathmanathan, head of the ltte’s international diplomatic relations, released a statement on sunday announcing that the tigers will "silence our guns to save our people."
kanisa katoliki limefanya mengi na linaendelea kufanya lakini mengi zaidi bado yanapaswa kufanywa. hata hivyo, diplomasia hata kama ni nzuri katika namna yake, haitakiwi kutumika sana katika kanisa kwa sababu, beleshi ni lazima liitwe beleshi.
the catholic church has done much and is still doing a lot but a lot more still has to be done.however, diplomacy though good in its own ways, must not be of too common usage in the church because, a spade must be called a spade.
mkutano kati ya wanablogu wanaoongoza nchini urusi na balozi wa irani jijini moscow, siku tatu tu baada ya mwanablogu hossein derakshan kuhukumiwa kifungo cha miaka 19.5 jela kwa kile kilichoelezwa kuwa ni "kufanya propaganda zinazoipinga serikali" ulizionyesha wazi juhudi zisizoeleweka za diplomasia ya mtandaoni ya irani nchini urusi.
the meeting of russia's top-bloggers with the iranian ambassador in moscow three days after hossein derakhshan had been sentenced to 19.5 years of imprisonment for "anti-government propaganda" highlighted the clumsy attempts of the iranian online diplomacy in russia.