Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
ras babi babiker, kadhalika anaomboleza kifo cha saleh kwa kutukumbusha ile riwaya iliyolikuza jina lake katika ulimwengu wa kisasa wa fasihi ya kiarabu.
ras babi babiker mourned saleh's passing too by reminding us about the great novel that made him a major name in the world of modern arabic literature.
hadithi ya maisha magumu ya mustafa akiwa ulaya na hasa uhusiano wake wa kimapenzi na mwanamke wa kiingereza, ndiyo unachukua nafasi ya kati katika riwaya hiyo.
the story of mustafa's troubled past in europe and in particular his love affair with a british woman, forms the center of the novel.
mshindani mwingine katika kigezo hiki ni han han, mwandishi wa riwaya mwenye ufanisi mkubwa ambaye pia ni dereva wa magari ya mashindano wa huko china ambaye ametokea kuwa mwanablogu aliyesomwa sana nchini china na mshiriki katika shindano la 100 bora wa gazeti la time.
another contender of this category is han han, a prolific novelist and race car driver from china who happens to be china's most read blogger and a contender for time magazine's top 100 list.
mwanzo wa msimu wa fasihi ya kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya kisenegali na kifaransa marie n’diaye akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya prix goncourt.
the start of this year's french literary season saw french-senegalese novelist and playwright marie n'diaye awarded a much-awaited prix goncourt.
riwaya hiyo inamfuatilia msimulizi (ambaye hakutajwa jina) katika safari yake ya kurejea kijijini alikozaliwa nchini sudan baada ya kuishi uingereza kwa miaka saba akitafuta elimu zaidi.
the novel charts individuation of the (un-named) narrator, who has returned to his native village in the sudan having spent seven years in england furthering his education.
baada ya malalamiko kuhusu hali mbaya ya usalama wa afya kwenye uwanja wa ndege wa khartoum, msudani mwenye matumaini anaomboleza kifo cha mwandishi mashuhuri wa riwaya, al- tayeb saleh.
after a frustrated rant about khartoum international airport's unhygienic condition, sudanese optimist mourned the passing of the respected and well-known sudanese novelist, al-tayeb saleh.
n’diaye, aliyezaliwa mwaka 1967 na mama mfaransa na baba msenegali, alishinda tuzo ya goncourt kutokana na riwaya yake “trois femmes puissantes” (”wanawake watatu wenye nguvu”), hadithi inayohusu wanawake waliojikuta katikati ya ufaransa na senegal na katika mkasa wa dhiki mbaya ya uhamiaji usio halali kutokea afrika.
n'diaye, born in 1967 to a french mother and a senegalese father, won the goncourt prize for her novel, "trois femmes puissantes" ("three powerful women"), a story about three women caught between france and senegal and the hellish ordeal of illegal migration from africa.
mwanablogu wa jamaika aishiye ughaibuni geoffrey philp anataarifu kuwa robert antoni, mwandishi wa kitabu cha "as flies to whatless boys", ameshinda tuzo ya one caribbean media bocas 2014 kwa fasihi ya nchi za 'caribbean' wakati blogu ya 'repeating islands' ikichapisha pitio la kitabu riwaya yake hapa.
jamaican diaspora litblogger geoffrey philp reports that robert antoni, author of "as flies to whatless boys", has won the 2014 one caribbean media bocas prize for caribbean literature, while repeating islands republishes a review of his novel, here.
riwaya hiyo, kwa kipindi fulani, ilizuiliwa nchini sudani kwa vile ilijumuisha lugha ya picha za ngono, hata hivyo imetambuliwa kama “riwaya ya muhimu zaidi ya kiarabu kwenye karne ya 20” na chuo cha fasihi cha kiarabu kilichoko mjini damascus, siria.
the novel was, at one point, banned in sudan for its inclusion of sexual imagery, yet it was declared “the most important arabic novel of the 20th century” by the syrian-based arab literary academy in damascus.