Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
ومن هناك سافرا في البحر الى انطاكية حيث كانا قد أسلما الى نعمة الله للعمل الذي اكملاه.
lakini baadhi ya waumini waliotoka kupro na kurene, walikwenda antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile habari njema juu ya bwana yesu.
ولكن كان منهم قوم وهم رجال قبرسيون وقيروانيون الذين لما دخلوا انطاكية كانوا يخاطبون اليونانيين مبشرين بالرب يسوع.
kutokana na mateso yaliyotokea wakati stefano alipouawa, waumini walitawanyika. wengine walikwenda mpaka foinike, kupro na antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa wayahudi tu.
اما الذين تشتتوا من جراء الضيق الذي حصل بسبب استفانوس فاجتازوا الى فينيقية وقبرس وانطاكية وهم لا يكلمون احدا بالكلمة الا اليهود فقط.
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
وحدث في ايقونية انهما دخلا معا الى مجمع اليهود وتكلما حتى آمن جمهور كثير من اليهود واليونانيين.
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
فلما حصل لبولس وبرنابا منازعة ومباحثة ليست بقليلة معهم رتبوا ان يصعد بولس وبرنابا واناس آخرون منهم الى الرسل والمشايخ الى اورشليم من اجل هذه المسئلة.
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
وكتبوا بايديهم هكذا. الرسل والمشايخ والاخوة يهدون سلاما الى الاخوة الذين من الامم في انطاكية وسورية وكيليكية.
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
حينئذ رأى الرسل والمشايخ مع كل الكنيسة ان يختاروا رجلين منهم فيرسلوهما الى انطاكية مع بولس وبرنابا يهوذا الملقب برسابا وسيلا رجلين متقدمين في الاخوة.
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
فحدث انهما اجتمعا في الكنيسة سنة كاملة وعلّما جمعا غفيرا ودعي التلاميذ مسيحيين في انطاكية اولا
jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. wakawachagua stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na roho mtakatifu, filipo, prokoro, nikanora, timona, parmena na nikolao wa antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya kiyahudi.
فحسن هذا القول امام كل الجمهور فاختاروا استفانوس رجلا مملوّا من الايمان والروح القدس وفيلبس وبروخورس ونيكانور وتيمون وبرميناس ونيقولاوس دخيلا انطاكيا.