Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
kampuni ya soccerid iliarifu siku ya jumatatu kuwa itaingiza ulaya mapembe haya yaliyosababishwa utata huko afrika kusini.
lundi, la société soccerid a indiqué qu’elle importait la trompette sud-africaine controversée en europe.
mlipuko unaodhaniwa kuwa ni bomu umesababisha madhara katika moja ya barabara kuu za nairobi, moi avenue, katika mji mkuu huo wa kenya mchana wa jumatatu.
une explosion a secoué l'une des artères principales de nairobi, moi avenue, dans la capitale kenyane, le lundi 28 mai après-midi.
lakini vyombo vya habari vya afrika magharibi, ukiacha vichache, vimekuwa vikipotea kuanzia siku ya ijumaa mchana, na kuzinduka muda wowote siku za jumatatu.
mais les médias ouest-africains, à peu d'exceptions prés, entrent en hibernation le vendredi après-midi et ressuscitent à un moment donné le lundi matin suivant.
wanablogu waishio ethiopia wameharakia kuitetea rekodi ya usalama wa safari za ndege za nchi hiyo siku ya jumatatu baada ya ndege moja kuanguka karibu na beirut, ikihofiwa kupoteza maisha ya watu wote 90 waliokuwepo.
des blogueurs qui vivent en Éthiopie ont pris la défense de la ligne aérienne nationale éthiopienne après le crash qui a eu lieu lundi 25 janvier : l'un de ses avions a disparu près de beyrouth, faisant 90 disparus.
katika tovuti ya uandishi wa kiraia, agoravox, illiouchine, metropolitanin , anaelezea hali ilivyokuwa katika guadeloupe mwishoni mwa juma na utulivu uliofuatia baada ya ghasia za usiku wa jumatatu.
voici les réactions de quelques blogueurs depuis lundi. sur agoravox, illiouchine, un métropolitain, décrivait la guadeloupe le week-end dernier, et le calme qui a suivi les violences de la nuit de lundi.
katika video iliotolewa jumatatu, agosti 12, timu ya soka ya grêmio of porto alegre ilileta pamoja baadhi ya wachezaji muhimu kwenye orodha ya majina yake, weupe na weusi, kwa majadiliano juu ya ubaguzi wa rangi.
dans une vidéo présentée le 12 août l'équipe de foot grêmio of porto alegre a rassemblé certains des joueurs les plus célèbres de son équipe, blancs et noirs, pour parler du racisme.
kwa mujibu wa magazeti ya uganda, ghasia katika chuo kikuu cha makerere, chuo kikuu kikubwa zaidi nchini uganda, zilianza baada ya wanafunzi wawili kupigwa risasi na mmoja kujeruhiwa vibaya na mlinzi wa usalama usiku wa jumatatu wakati wa mkutano kuhusu uchaguzi wa wanafunzi.
selon la presse ougandaise, les émeutes à l'université makerere, la plus grande d'ouganda, ont commencé après que deux étudiants ont été tués par balles et un autre grièvement blessé par un vigile lundi soir pendant une réunion sur les élections corporatistes étudiantes en cours.
baada ya wiki za maandamano ya amani katika idara za ng'ambo za ufaransa za guadeloupe na martinique, mambo yaligeuka na kuwa ghasia siku ya jumatatu, polisi na waandamanaji walipambana katika jiji kubwa la guadeloupe, pointe-a-pitre.
après des semaines de manifestations largement pacifiques dans les départements d'outre-mer de la guadeloupe et de la martinique, un délégué syndical a été tué par balle à pointe-à-pitre mercredi 18 février, après une deuxième nuit de violences en guadeloupe. la situation s'est dégradée lundi, quand les manifestants et les forces de police se sont affrontés à pointe-à-pitre, préfecture de la guadeloupe.