Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
huyo mwovu atakuja na nguvu za shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,
l`apparition de cet impie se fera, par la puissance de satan, avec toutes sortes de miracles, de signes et de prodiges mensongers,
hata kutoka miongoni mwenu watatokea watu ambao watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya wawafuate wao tu.
et qu`il s`élèvera du milieu de vous des hommes qui enseigneront des choses pernicieuses, pour entraîner les disciples après eux.
hata hivyo, barua inayodaiwa kueleza hivyo iligundulika kuwa ni ya uongo kama anavyobaini juan carlos rivera wa miradas de halcón .
mais la prétendue lettre s'est révélée un faux, indique juan carlos rivera de miradas de halcón .
naanza kufikiri kuwa serikali ya marekani ilimtumia clinton wa uongo, kwa sababu yule mwanamke anaonekana mzee sana na jimama kuwa clinton wa kweli.
je commence à penser que l'etat américain nous a envoyé une fausse hillary, parce que cette femme semble trop vieille et maternelle pour être hillary!
lakini mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu na wote wanaopenda kusema uongo, watakaa nje ya mji.
dehors les chiens, les enchanteurs, les impudiques, les meurtriers, les idolâtres, et quiconque aime et pratique le mensonge!
maana watatokea kina kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa mungu, kama ikiwezekana.
car il s`élèvera de faux christs et de faux prophètes; ils feront des prodiges et des miracles pour séduire les élus, s`il était possible.
kimsingi kinachosemwa na mica ni kwamba wameipiga marufuku filamu hiyo kwa kuwa wanataka ukweli pekee ndio usemwe lakini filamu hii imejaa mambo mengi ya uongo, ulaghai na kupindishwa.
en gros, ce que dit le mica (ministère de l'information, de la communication et des arts), c'est qu'ils ont interdit ce film car ils veulent que seule la vérité soit divulguée et que ce film contiendrait moult erreurs, mensonges et déformations des faits.
mwaka wa 2012, uchunguzi uliofanywa unaonyesha kuwa theluthi ya dawa za malaria asia ya kusini mashariki na sahara ndogo ya afrika zilikuwa na dosari katika uangalizi wa viungo au pakiti au zilikuwa za uongo.
en 2012, une étude a montré que un tiers des médicaments contre la malaria en asie du sud-est en en afrique sub saharienne n'étaient pas conformes après le test chimique et l'analyse du contenant, ou encore étaient falsifiés.
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "anayetaka kufurahia maisha, na kuona siku za fanaka, anapaswa kuacha kusema mabaya na kuacha kusema uongo.
si quelqu`un, en effet, veut aimer la vie et voir des jours heureux, qu`il préserve sa langue du mal et ses lèvres des paroles trompeuses,
dola iliyoweka historia ya taswira ya kung’ara ya kutokuwa na chembe ya doa katika haki za binadamu inaendelea kuwa imara na isiyotikiswa kwa dhahania za uongo na zisizo na maana zinazosambazwa kwa uhasama kupitia vipaza sauti wakati wa dhifa mbalimbali za kitaifa.
malgré les allégations tendancieuses et futiles diffusées dans les réceptions internationales par des voix hostiles, le royaume n'en a pas été touché et reste par excellence l'exemple de l'etat qui respecte les droits de l'homme.
baraza limesema kwamba tuhuma za kuvuruga uchaguzi ni uongo mtupu. walitumia pia sauti yenye vitisho walipotoa wito kwa “kambi fulani za kisiasa” kujifunza kutokana na yaliyopata kutokea.
le csfa a déclaré que les accusations de trucage des élections étaient outrageuses, et avec un sous-entendu menaçant a demandé à "certaines forces politiques" de retenir les leçons du passé.
huko hungary, bunge ilipiga kura kuruhusu waziri mkuu, viktor orbán, kuongoza kisheria kwa muda usiojulikana, kusimamisha bunge pamoja na uchaguzi na kuadhibu wale walioonekana kueneza taarifa za uongo kuhusu virusi na usimamizi wa serikali kwa hali ya hatari.
en hongrie, le parlement a voté pour autoriser le premier ministre, viktor orbán, à gouverner par décret jusqu’à nouvel ordre, à suspendre le parlement ainsi que les élections et à punir quiconque serait accusé d’avoir diffusé de fausses informations sur le virus et la gestion de la crise par le gouvernement.