İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile.
который, найдя одну драгоценную жемчужину, пошел и продал все, что имел, и купил ее.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
baada ya kuwasalimu, paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu yote mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi wake.
Приветствовав их, Павел рассказывал подробно, что сотворил Бог у язычников служением его.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
ndiyo maana sisi tulifarijika sana. siyo kwamba tulifarijika tu, ila pia tito alitufurahisha kwa furaha aliyokuwa nayo kutokana na jinsi mlivyomchangamsha moyo.
Посему мы утешились утешением вашим; а еще более обрадованы мы радостью Тита, что вы все успокоили дух его.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini maandiko matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema yesu.
Когда же воскрес Он из мертвых, то ученики Его вспомнили, что Он говорил это, и поверили Писанию и слову, которое сказал Иисус.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
idumea, ng'ambo ya mto yordani, tiro na sidoni. watu hao wengi walimwendea yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
Иерусалима, Идумеи и из-за Иордана. И живущие в окрестностях Тира и Сидона, услышав, что Он делал, шли к Нему в великом множестве.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
miongoni mwa wale waliotusikiliza alikuwa mwanamke mmoja mcha mungu aitwaye ludia mwenyeji wa thuatira, ambaye alikuwa mfanyabiashara ya nguo za kitani za rangi ya zambarau. bwana aliufungua moyo wake hata akayapokea yale maneno paulo aliyokuwa anasema.
И одна женщина из города Фиатир, именем Лидия, торговавшая багряницею, чтущая Бога, слушала; и Господь отверз сердце ее внимать тому, что говорил Павел.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
"ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyofichika shambani. mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.
Еще подобно Царство Небесное сокровищу, скрытому на поле, которое, найдя, человек утаил, и от радости о нем идет и продает все, что имеет, и покупает поле то.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
mwandishi na mhariri wa zamani wa mashariki ya kati kwa jarida la the guardian brian whitaker (@brian_whit) alitwiti kiungo cha makala aliyokuwa ametoka kuiandika:
haykal bafana (@bafana3), йеменский адвокат, проживающий в Йемене, выложил в twitter фото этой ужасной картины, прокомментировав ее следующим образом:
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
basi, sehemu ya maandiko matakatifu aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: "alikuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa; kimya kama vile mwana kondoo anaponyolewa manyoya, yeye naye hakutoa sauti hata kidogo.
А место из Писания, которое он читал, было сие: как овца, веден был Он на заклание, и, как агнец пред стригущим его безгласен, так Он не отверзает уст Своих.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor