Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
"sasa, mimi nawatuma ninyi kama kondoo kati ya mbwa mwitu. muwe na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa.
eto, ja vas aljem kao ovce medju vukove: budite dakle mudri kao zmije i bezazleni kao golubovi.
lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya hawa, fikira zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa kristo.
ali se bojim da kako kao to zmija evu prevari lukavstvom svojim tako i razumi vai da se ne odvrate od prostote koja je u hristu.
paulo aliokota mzigo mdogo wa kuni akawa anazitia motoni. hapo, kwa sababu ya lile joto la moto, nyoka akatoka katika kuni akamnasa paulo mkononi na kujishikilia hapo.
a pavle zgrabivi gomilu granja naloi na oganj, i iziavi zmija od vruæine skoèi mu na ruku.
basi, yohane akawa anawaambia watu wengi waliofika ili awabatize: "enyi kizazi cha nyoka! ni nani aliyewadokezea kwamba mngeweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?
jovan, pak, govorae ljudima koji izlaahu da ih krsti: porodi aspidini! ko vam kaza da beite od gneva koji ide?
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
i zbaèena bi adaha velika, stara zmija, koja se zove djavo i sotona, koja vara sav vasioni svet, i zbaèena bi na zemlju, i andjeli njeni zbaèeni bie s njom.