Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
na kubomoa kila kizuizi cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii kristo.
jímžto podvracíme rady, i všelikou vysokost, povyšující se proti umění božímu, jímajíce všelikou mysl v poddanost kristu,
husema maneno ya majivuno na yasiyo na maana, na kutumia tamaa zao mbaya za kimwili kuwatega wale ambao wamejitenga hivi karibuni na watu waishio katika udanganyifu.
nebo přepyšně marné věci vypravujíce, žádostmi těla a chlipnostmi loudí ty, kteříž byli vpravdě utekli od těch, jenž bludu obcují,
lakini, kusudi mambo haya makuu niliyofunuliwa yasinifanye nilewe majivuno, nilipewa maumivu mwilini kama mwiba, mjumbe wa shetani mwenye kunipiga nisijivune kupita kiasi.
a abych se vysokostí zjevení nad míru nepozdvihl, dán mi jest osten do těla, totiž anděl satan, aby mne poličkoval, abych se nad míru nepovyšoval.
huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,
takovýť jest nadutý, nic neuměje, ale nemoudrost provodí při otázkách a hádkách o slova, z kterýchžto pochází závist, svár, rouhání, zlá domnění,
lakini, bwana akipenda, nitakuja kwenu upesi; na hapo ndipo nitakapojionea mwenyewe, sio tu kile wanachoweza kusema hao wenye majivuno, bali pia kila wanachoweza kufanya.
ale přijduť k vám brzo, bude-li pán chtíti, a poznám ne řeč těch nadutých, ale moc.
watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
nebo nastanou lidé sami sebe milující, peníze milující, chlubní, pyšní, zlolejci, rodičů neposlušní, nevděční, bezbožní,
lakini, neema tunayopewa na mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo maandiko: "mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu."
nýbrž hojnější dává milost. nebo dí: bůh se pyšným protiví, ale pokorným dává milost.
kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana maandiko matakatifu yasema: "mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu."
podobně i mládenci, buďte poddáni starším. a všickni poddanost jedni druhým ukazujte, pokorou vnitř se ozdobte. bůh zajisté pyšným se protiví, ale pokorným dává milost.