İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.
הכל יעשה כהגן וכשורה׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
pendaneni kidugu; kila mmoja amfikirie mwenzake kwanza kwa heshima.
באהבת אחים הראו חבה יתרה ובכבוד הקדימו איש את רעהו׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: mwalimu.
ואת שאלות שלומם בשוקים ואת אשר יקראו להם בני האדם רבי רבי׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
kila mwanamume anapaswa kujua namna ya kuishi na mkewe kwa utakatifu na heshima,
וידע כל איש מכם לשמר את כליו בקדשה ויקר׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. muwe na amani kati yenu.
אשר תנהגו בם כבוד עד למעלה באהבה למען פעלתם ויהי שלום ביניכם׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:
וישא משלו אל הקרואים בראותו איך בחרו להם להסב בראש ויאמר אליהם׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
ויהי מנהיג את ביתו בטוב ומדריך את בניו למשמעתו בכל הישר׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
ulimfanya kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,
ותחסרהו מעט מאלהים וכבוד והדר תעטרהו ותמשילהו במעשי ידיך׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
maana yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "nabii hapati heshima katika nchi yake."
כי הוא ישוע העיד כי נביא בארץ מולדתו איננו נכבד׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo kati yenu.
ועוד אחי התפללו בעדנו אשר ירוץ דבר יהוה ויכבד כמו גם בקרבכם׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. kila mmoja huteuliwa na mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa aroni.
ואת הגדלה הזאת לא יקח איש לעצמו רק הקרוא לה מאת האלהים כמו אהרן׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
lakini mungu atawapa utukufu, heshima na amani wale wanaotenda mema; wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
וכבוד והדר ושלום לכל עשה הטוב ליהודי בראשונה וכן גם ליוני׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
"ole wenu ninyi mafarisayo, kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa kwa heshima hadharani.
אוי לכם הפרושים כי תאהבו את מושב הראש בבתי הכנסיות ואת שאלות שלומכם בשוקים׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
wakati atakapokuja siku ile kupokea utukufu kutoka kwa watu wake na heshima kutoka kwa wote wanaoamini. ninyi pia mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.
בבאו ביום ההוא להכבד בקדשיו ולהתפלא בכל המאמינים כי האמנתם לעדותנו אליכם׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
ותתעה את ישבי הארץ על ידי האותות אשר נתן לה לעשות בפני החיה באמרה אל ישבי הארץ לעשות צלם לחיה אשר הכתה מכת חרב ותחי׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
lakini twamwona yesu ambaye alifanywa kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika, ili kwa neema ya mungu afe kwa ajili ya watu wote. sasa tunamwona ametawazwa kwa utukufu na heshima kwa sababu ya kifo alichoteseka.
אבל ישוע המחסר מעט ממלאכים אותו ראינו מעטר בכבוד והדר מפני ענותו עד מות למען אשר יטעם בחסד אלהים את המות בעד כלם׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. kwake iwe heshima na uwezo wa milele! amina.
אשר הוא לבדו חי וקים והוא הדר באור נשגב ואיש לא ראהו ולא יוכל לראונו ולו הכבוד וגבורת עולמים אמן׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
kadhalika nanyi waume, katika kuishi na wake zenu mnapaswa kutambua kwamba wao ni dhaifu na hivyo muwatendee kwa heshima; maana nao pia watapokea pamoja nanyi zawadi ya uzima anayowapeni mungu. hapo ndipo sala zenu hazitakataliwa.
וכן אתם האנשים שבו עמהן בתבונה כי כלי רפה האשה ותנו לה כבוד כי גם להן יש חלק בנחלת מתנת החיים פן תכלאו מתפלותיכם׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
katika mafundisho yake, yesu alisema, "jihadharini na walimu wa sheria ambao hupenda kupitapita wamejivalia kanzu ndefu na kusalimiwa na watu kwa heshima sokoni; hupenda kuketi mahali pa heshima katika masunagogi,
ויאמר אליהם בלמד אתם השמרו מן הסופרים האהבים להתהלך עטופי טלית ואת שאלות שלומם בשוקים׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima siku ile yesu kristo atakapofunuliwa.
למען תמצא אמונתכם המזקקה יקרה הרבה מן הזהב האבד הצרוף באש לתהלה ולכבוד ולתפארת בהתגלות ישוע המשיח׃
Son Güncelleme: 2012-05-05
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite: