Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
habari hii ilitokea mwaka uliopita huko mogadisho lakini hakuna aliyesikia mpaka mwanamke huyu mdogo alipokwenda kampala na kumshitaki bw. asisa mahakamani kwa kumdanganya.
this story took place last year in mogadisho but no one heard of it till this young woman went to kampala and took mr. asisa to court for lying to her.
bw jean francois labadie, mmoja wa walionusurika alituma taarifa alizokusanya kuhusu janga hilo muda mfupi baada ya usiku wa manane leo hii alfajiri:
survivor jean francois labadie posted his recollections of the disaster a few hours after midnight this morning:
tovuti moja imeunganishwa na ile ya bw kikwete pamoja na akaunti ya twita ya dkt. bilal , wakati tovuti nyingine ina kiungo kinachoelekea kwenye ukurasa wa facebook ambao ni maalumu kwa ajili ya kampeni zake.
one site is linked to mr kikwete’s website and dr. bilal’s twitter account, while the other website has a link to a facebook page dedicated to his campaign.
"baadhi ya mawaziri waliamua kuwa walikuwa wazee sana kuanza kujifunza kutumia kompyuta, na hawakuonyesha hamu yoyote." katika visa vingine hata wasaidizi wenye umri mdogo hawakuwa wanafamu jinsi ya kujiandikisha, “kwa hiyo kifaa kiko pale... kinakufa," anasema bw.
"some of the ministers apparently decided they were too old to learn to use a computer, and so they showed no enthusiasm."