İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
and there were many lights in the upper chamber, where they were gathered together.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
naye atawaonyesheni chumba kikubwa ghorofani ambacho kimepambwa. andalieni humo."
and he shall shew you a large upper room furnished: there make ready.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
naye atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani kilichotayarishwa na kupambwa. tuandalieni humo."
and he will shew you a large upper room furnished and prepared: there make ready for us.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. watu wakauosha mwili wake, wakauzika katika chumba ghorofani.
and it came to pass in those days, that she was sick, and died: whom when they had washed, they laid her in an upper chamber.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
kisha akapanda tena ghorofani, akamega mkate, akala. aliendelea kuhubiri kwa muda mrefu hadi alfajiri, halafu akaondoka.
when he therefore was come up again, and had broken bread, and eaten, and talked a long while, even till break of day, so he departed.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
basi, petro akaenda pamoja nao. alipofika alipelekwa ghorofani katika kile chumba. huko wajane wengi walimzunguka petro wakilia na kumwonyesha makoti na nguo ambazo dorka alikuwa akitengeneza wakati alipokuwa hai.
then peter arose and went with them. when he was come, they brought him into the upper chamber: and all the widows stood by him weeping, and shewing the coats and garments which dorcas made, while she was with them.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
walipofika mjini waliingia katika chumba ghorofani ambamo walikuwa wanakaa; nao walikuwa petro, yohane, yakobo, andrea, filipo na thoma, bartholomayo na mathayo, yakobo mwana wa alfayo, simoni zelote na yuda mwana wa yakobo.
and when they were come in, they went up into an upper room, where abode both peter, and james, and john, and andrew, philip, and thomas, bartholomew, and matthew, james the son of alphaeus, and simon zelotes, and judas the brother of james.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite: