İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.
for he wist not what to say; for they were sore afraid.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
hakuwa na uwezo wakuzungumza kikorea na hakujua chochote juu ya udhaifu wa kiakili wa mumewe.
she could not speak korean and knew nothing about her husband and about his mental instability.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
and he went out, and followed him; and wist not that it was true which was done by the angel; but thought he saw a vision.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
kwa imani abrahamu alimtii mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo mungu angempa iwe yake. ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, abrahamu alihama.
by faith abraham, when he was called to go out into a place which he should after receive for an inheritance, obeyed; and he went out, not knowing whither he went.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
hakujua kwamba mwenyezi mungu kesha waangamiza, katika vizazi vya walio kabla yake, watu walio kuwa wenye ngubvu zaidi kuliko yeye, na wenye makundi makubwa zaidi kuliko yake.
did he not know that allah had already destroyed before him some of the generations who were more powerful than him and greater in amassing [wealth]?
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
baada ya yale yote npp waliyofanya (nani hakujua kuwa msloc na leap walikuwa kwa ajili ya maslahi ya wafuasi wa chama fulani?) wanjeshi wao wa nchi kavu walilalamika kwamba kufuor hakuwatendea vya kutosha.
after all the npp did (who didn't know masloc and leap were for partisan sorts?) their foot soldiers complained that kufuor didn't do enough for them.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
hakujua kwamba mwenyezi mungu kesha waangamiza, katika vizazi vya walio kabla yake, watu walio kuwa wenye ngubvu zaidi kuliko yeye, na wenye makundi makubwa zaidi kuliko yake. na wakosefu hawataulizwa khabari ya dhambi zao.
did he not know that allah had destroyed before him generations, men who were stronger than him in might and greater in the amount (of riches) they had collected. but the mujrimun (criminals, disbelievers, polytheists, sinners, etc.) will not be questioned of their sins (because allah knows them well, so they will be punished without account).
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
mkuu wa karamu alipoonja hayo maji, kumbe yalikuwa yamegeuka kuwa divai. yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi waliochota maji walijua). mkuu wa karamu akamwita bwana arusi,
when the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew;) the governor of the feast called the bridegroom,
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite: