İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
carrie yang ni mwanafunzi aliyefanya masomo ya baada ya shahada ya kwanza kuhusu vyombo vya habari vipya katika chuo kikuu cha kichina cha hong kong.
carrie yang is a a postgraduate student studying new media at the chinese university of hong kong.
bodyguards and assassins (walinzi na wauaji) ni filamu ya kuchangamsha iliyotolewa wakati wa krismasi huko china, hong kong na taiwan.
bodyguards and assassins is an action movie released during christmas in china, hong kong and taiwan.
hong kong inapendekeza kuvaa kwa barakoa ya kimatibabu unapotumia usafiri wa umma au kukaa sehemu ambapo kuna watu wengi.
hong kong recommends wearing a surgical mask when taking public transport or staying in crowded places.
leo, kundi la wanaharakati wa hong kong kutoka chama cha demokrasia na ujamaa (lsds) waliandamana nje ya ubalozi wa misri na kulilaani jeshi kwa mauaji ya halaiki mnamo agosti 14 mjini cairo.
today, a group of hong kong activists from league of social democrats and socialist action protested outside egypt consulate and condemned the military over august 14 cairo massacre.
sijawahi kuona ghasia na tahadhari hii ya polisi hapa hong kong kwa waandamanaji “tawanyikeni vinginevyo tunawapiga risasi’
never seen such a clampdown in #hongkong - police flash warning to protesters 'disperse or we fire' h/t @george_chen pic.twitter.com/wy3lun1nec — anuj chopra (@anujchopra) september 28, 2014
mnamo oktoba 4, kiasi cha wanaharakati 30 waliandamana kupitia barabara ya nathan huko tsim sha tsui, eneo maarufu kwa utalii nchini hong kong.
on october 4, around 30 animal activists rallied along the nathan road in tsim sha tsui, a most touristic area in hong kong.
miradi ya maendeleo ya chanjo ilitangazwa katika kituo cha uchina cha kudhibiti na kuzuia ugonjwa tarehe 26 januari 2929, na chuo kikuu cha hong kong tarehe 28 januari.
vaccine development projects were announced at the chinese center for disease control and prevention on 26 january 2020, and the university of hong kong on 28 january.
mamlaka ya hospitali ya hong kong ilipata kuwa kiwango kilishuka na kuwa asilimia 20 hadi 30 katika uwezo wa mapafu kwa watu waliopona ugonjwa huo, vipimo vya mapafu vilionyesha uharibifu wa ogani.
the hong kong hospital authority found a drop of 20% to 30% in lung capacity in some people who recovered from the disease, and lung scans suggested organ damage.
kule hong kong, ubaguzi dhidi ya uchina, ambao ulikuwa juu tayari, umeongezeka kama matokeo ya janga hili, matokeo yake yakisababisha maduka na mikahawa ikiwanyima huduma wateja kutoka china kuu na kuwapiga marufuku wanenaji wote wa kimandarini katika majengo yao (isipokuwa taiwanisi).
in hong kong, sinophobia, which was already high to begin with, has intensified as a result of the pandemic, with the result that many shops and restaurants are now denying service to mainland chinese customers and banning mandarin speakers from their premises (with the exception of taiwanese).