İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Kimden: Makine Çevirisi
Daha iyi bir çeviri öner
Kalite:
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
nukuu za upendo
upendo quotes
Son Güncelleme: 2020-04-21
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
nukuu za kingereza darasa la sita
english quotes sixth grade 6
Son Güncelleme: 2024-04-24
Kullanım Sıklığı: 5
Kalite:
Referans:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
and to this agree the words of the prophets; as it is written,
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa maandiko matakatifu.
then opened he their understanding, that they might understand the scriptures,
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
basi, filipo akianzia na sehemu hiyo ya maandiko matakatifu, akamweleza habari njema juu ya yesu.
then philip opened his mouth, and began at the same scripture, and preached unto him jesus.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
and beginning at moses and all the prophets, he expounded unto them in all the scriptures the things concerning himself.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mmegundua kwamba bwana ni mwema."
if so be ye have tasted that the lord is gracious.
Son Güncelleme: 2023-08-08
Kullanım Sıklığı: 2
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
kama maandiko matakatifu yasemavyo: "yakobo nilimpenda, lakini esau nilimchukia."
as it is written, jacob have i loved, but esau have i hated.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
hapo kale, mungu aliwaahidia watu hii habari njema kwa njia ya manabii wake katika maandiko matakatifu.
(which he had promised afore by his prophets in the holy scriptures,)
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi yake akajadiliana nao sabato tatu mfululizo, akatumia maandiko matakatifu.
and paul, as his manner was, went in unto them, and three sabbath days reasoned with them out of the scriptures,
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
maana maandiko matakatifu yasema: "kila mtu atakayeomba kwa jina la bwana, ataokolewa."
for whosoever shall call upon the name of the lord shall be saved.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
mungu aliwaita miungu wale waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba maandiko matakatifu yasema ukweli daima.
if he called them gods, unto whom the word of god came, and the scripture cannot be broken;
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
huyu ndiye ambaye maandiko matakatifu yanasema: jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
this is the stone which was set at nought of you builders, which is become the head of the corner.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
na watu watahubirije kama hawakutumwa? kama yasemavyo maandiko matakatifu: "ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri habari njema!"
and how shall they preach, except they be sent? as it is written, how beautiful are the feet of them that preach the gospel of peace, and bring glad tidings of good things!
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele."
(as it is written, he hath dispersed abroad; he hath given to the poor: his righteousness remaineth for ever.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
basi, wakaambiana, "je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia maandiko matakatifu kule njiani?"
and they said one to another, did not our heart burn within us, while he talked with us by the way, and while he opened to us the scriptures?
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
maandiko matakatifu yasemaje? yanasema: kristo atatoka katika ukoo wa daudi, na atazaliwa bethlehemu, mji wa daudi!"
hath not the scripture said, that christ cometh of the seed of david, and out of the town of bethlehem, where david was?
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "ni vigumu kwa watu waadilifu kuokolewa; itakuwaje basi kwa wasiomcha mungu na wenye dhambi?"
and if the righteous scarcely be saved, where shall the ungodly and the sinner appear?
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
hapo ndipo taifa lote la israeli litakapookolewa, kama yesemavyo maandiko matakatifu: "mkombozi atakuja kutoka sioni, atauondoa uovu wa yakobo.
and so all israel shall be saved: as it is written, there shall come out of sion the deliverer, and shall turn away ungodliness from jacob:
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
maandiko matakatifu yesema hivi, "ujumbe huo wa mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.
but what saith it? the word is nigh thee, even in thy mouth, and in thy heart: that is, the word of faith, which we preach;
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor