Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
raia wa kongo wanaoishi nje ya nchi yao waliandamana mbele ya balozi za nchi hiyo katika nchi mbalimbali.
the congolese nationals based outside the congo demonstrated in front of embassies in several different countries.
makala hiyo inaifanya ionekane kuwa waziri mkuu harper alisitahili kutunukiwa medali kwa uajsiri wake wa kuitembelea kongo drc.
the article makes it seem as though prime minister harper ought to be given a medal for his courage in visiting the drc.
katika kituocha habari cha ufaransa cha france 24, watoa maoni wachache kutoka kongo wametoa maoni yao kuhusu uchaguzi.
at the french news site france 24, a few commenters from congo have expressed their opinions on the election.
na ingawa wa-kongo wanaoishi nje ya nchi yao hawakuwezeshwa kupiga kura, walihakikisha wanapaza sauti zao zisikike duniani kote.
and although the congolese diaspora was unable to vote, they made sure to get their voices heard by the world.
ulimwengu wa wanablogu wa kikongo ulijaa shutuma kali dhidi ya mahojiano ya hivi karibuni ya rais wa kongo, joseph kabila kwenye gazeti la new york times.
the congolese blogosphere had harsh criticism for congolese president joseph kabila's recent interview in the new york times.
kwa kuzima mtandao wa intaneti na huduma za ujumbe mfupi wa maandishi na kufunga tovuti, serikali ya kongo inawanyima raia haki zao za msingi za kuwasiliana na kupokea na kusambaza taarifa
by shutting down internet and messaging services and blocking websites, congolese authorities are denying citizens their fundamental right to communicate and to receive and impart information
denis sassou n’guesso, ambaye ameitawala kongo kwa takribani miaka 25 kama mkuu wa nchi, anatafuta kipindi kingine cha miaka saba madarakani.
denis sassou n’guesso, who has ruled the congo for about 25 years as head of state, is seeking another seven year term in power.
kwa msaada wa msaidizi wa kongo shirika lenyewe, prince béni na maya, wote wakisumbuliwa na maradhi ya moyo walifanyiwa upasuaji kwa masaa kadhaa kama ripoti ifuatayo inavyosema :
with the help of the congo assistance fundation as well, prince béni and maya, both suffering from cardiomyopathy were operated for several hours as told in the following report :
ida sawyer, mtafiti wa kongo drc wa shirika la kutetea haki za binadamu la human rights watch, anaongeza kwamba vitendo vya kuzima maandamano vinapingana na haki za raia ambao lengo lao ni kujieleza:
ida sawyer, dr congo researcher for human rights watch, adds that the repression is in contradiction with the rights of citizens to express themselves:
bahia, jimbo ambalo lina asilimia kubwa zaidi ya watu weusi, ndiyo makao makuu ya dini hii, ambayo inafuata kwa karibu asili yake ya kiafrika na hasa tamaduni za kiyoruba za nigeria na za kibantu za angola na kongo.
bahia, the state with the largest percentage of blacks, is the capital of this religion, which closely follows its african roots and traditions among the yoruba people of nigeria and the bantu people of angola and the congo.