Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
c / maana mimi naumia kwa kukupenda
am sorry
Son Güncelleme: 2019-05-27
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
maana mimi nilipokea kwa bwana yale maagizo niliyowaachieni: kwamba, usiku ule bwana yesu aliotolewa, alitwaa mkate,
for i have received of the lord that which also i delivered unto you, that the lord jesus the same night in which he was betrayed took bread:
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
karibu tanzania uje pande mlima kilimanjaro. unapenda nini wewe? maana mimi napenda music
unafanya nini kwa ajili ya kuishi?
Son Güncelleme: 2022-07-09
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
lakini petro alimwinua, akamwambia, "simama, kwa maana mimi ni binadamu tu."
but peter took him up, saying, stand up; i myself also am a man.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
maana mimi niko pamoja nawe. hakuna mtu atakayejaribu kukudhuru maana hapa mjini pana watu wengi walio upande wangu."
for i am with thee, and no man shall set on thee to hurt thee: for i have much people in this city.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
kwa hiyo mtu yeyote asimdharau, ila msaidieni aendelee na safari yake kwa amani ili aweze kurudi kwangu, maana mimi namngojea pamoja na ndugu zetu.
let no man therefore despise him: but conduct him forth in peace, that he may come unto me: for i look for him with the brethren.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
yesu akawaambia, "kama mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda mimi, maana mimi nilitoka kwa mungu na sasa niko hapa. sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.
jesus said unto them, if god were your father, ye would love me: for i proceeded forth and came from god; neither came i of myself, but he sent me.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
ndiyo maana mimi ninawapelekea ninyi manabii, watu wenye hekima na walimu; mtawaua na kuwasulubisha baadhi yao, na wengine mtawapiga viboko katika masunagogi yenu na kuwasaka katika kila mji.
wherefore, behold, i send unto you prophets, and wise men, and scribes: and some of them ye shall kill and crucify; and some of them shall ye scourge in your synagogues, and persecute them from city to city:
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
basi, yesu akaenda pamoja nao. alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie yesu: "bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu.
then jesus went with them. and when he was now not far from the house, the centurion sent friends to him, saying unto him, lord, trouble not thyself: for i am not worthy that thou shouldest enter under my roof:
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
makuhani wakuu na walinzi walipomwona wakapaaza sauti: "msulubishe! msulubishe!" pilato akawaambia, "mchukueni basi, ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa maana mimi sikuona hatia yoyote kwake."
when the chief priests therefore and officers saw him, they cried out, saying, crucify him, crucify him. pilate saith unto them, take ye him, and crucify him: for i find no fault in him.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor