İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
baadhi ya watumiaji wa twita wamezipokea habari hizi kama ishara ya maendeleo ya sekta ya elimu nchini afganistani.
some twitter users have welcomed the news as an indication of improvements in the afghan education sector.
kwenye blogu ya engenerada kuna tafakari ya kina juu ya ujenzi wa utambulisho wa jinsia na masimulizi yanazyohusishwa na wanawake na wanaume.
on engenerada they reflect on the construction of gender identities and the myhts usually associated to women and men.
upatikanaji wa fedha kwa ajili ya tafiti hufuata kanuni kadhaa hususani kwa fedha zinazotoka kwenye sekta ya umma au ya binafsi.
research financing follows a variety of rules, with funds coming from the public or private sector.
je, kutembea uchi yanaweza kuwa mbinu bora ya kufufua sekta ya utalii nchini kenya kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa al shabaab?:
is going topless an effective strategy for reviving the kenyan tourism industry following attacks from militant group al shabaab?:
anaongeza kuwa, vituo vya afya vinafanya kazi kupita uwezo wake ikiwa na maana kuwa hata wafanyakazi wa sekta ya afya nao wanafanya kazi kupita uwezo wao.
she adds that the health centres are operating over-capacity and that health workers are over-worked.
alieleza kuhusu uhusiano wake na jumuiya ya sauti za dunia na jinsi teknolojia ya kenya inavyozidi kuwa ya ubunifu, hasa katika sekta ya vifaa vya mkononi kama simu.
he explained his connection with global voices and how kenyan technology continues to innovate, particularly in the area of mobile.
hata sijui nini cha kusema lakini kile ninachoweza kusema sasa ni kwamba ninajisikia kukerwa na kwa kweli sijui cha kufanya na kile ambacho sote kama taifa tunaweza kufanya ili angalau sekta ya madini itufaidishe na sisi siku moja
i really do not even know what to say but all i can say is that i feel so disgusted and i really do not know what we can do and what we shall do to make the dice fall in our favor as zambians one day
mchoro wenye taarifa umekuwa ukisambaa katika majukwaa ya vyombo vya habari vya kiraia kuonyesha kwamba bolivia ni kati ya maeneo ya mwisho kabisa katika sekta ya ubora wa kasi ya mtandao barani amerika ya kusini.
an infographic that has been circulating on social media platforms shows that bolivia is among the last places in connectivity and bandwidth in latin america.
mwezi mei, benki ya dunia iitaka serikali ya zambiakutokuingilia upangaji wa bei ya unga wa mahindi unaouzwa na wakulima kwa shirika la hifadhi ya chakula la nchi hiyo na wadau wengine katika sekta ya uchumi wa kilimo.
in may, the world bank urged the zambian government not to interfere in determining the floor prices of maize sold by farmers to the food reserve agency and other interested parties in the agri-business chain.
kadiresan pia alionyesha kwamba benki ya dunia inaguswa na ukweli kwamba si tu kuwa sera ya kilimo ya serikali inashindwa kuhakikisha uendelevu wa ukuaji wa sekta ya uchumi, lakini pia serikali haichukui hatua za kutosha kutengeneza ajira pamoja na kupunguza umasikini
kadiresan also indicated that the world bank is deeply concerned that not only does the government’s policy fail to ensure the long term sustainable growth of the agriculture sector, it also does very little to create jobs and reduce poverty.
jengo la ghorofa tisa lililokuwa na idadi kubwa ya watu wanaotengeneza nguo liliporomoka huko savar, nje kidogo ya mji mkuu dhaka na kuua watu 142 na kujeruhi takribani watu elfu moja, hali iliyopelekea kuibua umakini wa hali ya usalama kwa sekta ya viwanda nchini bangladesh.
a nine-story building with mostly garment manufacturers collapsed in savar, in the outskirts of capital city dhaka, killing 142 people and injuring close to a thousand, resurrecting concerns of safety conditions in bangladesh's manufacturing industry.
kampuni ya shanxi province geological prospecting bureau ya china imeeleza kuridhika kwake na mashirikiano yaliyopo na tanzania katika sekta ya maji na madini nchini tanzania na kuahidi kuyaimarisha. kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo prof. peng dongxiao wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na balozi wa tanzania nchini china mheshimiwa khamis omar jana tarehe 14 machi 2024. kampuni hiyo ni miongoni mwa kampuni kubwa za china zinayojihusisha na ujenzi wa miundombinu ya m
the shanxi province geological prospecting bureau of china expressed satisfaction with tanzania's existing partnership with tanzania in tanzania's water and mining sector and pledged to strengthen them. the statement was made by the company's director general prof. peng dongxiao as he met and held talks with tanzania's ambassador to china, mr. khamis omar, on 14 march 2024. the company is one of china's largest companies involved in the construction of m infrastructure
hukumu hii inaweka msisitizo wa sheria ya makosa ya jinai (au, ningeongeza, sheria ya maadili ya baraza la watumishi wa sekta ya afya afrika kusini kwamba haiwezekani kutekeleza jambo lolote lililo kinyume na misimamo ya kidini au kimaadili kwa mtu yeyote.
the judgment thus confirms that the criminal law (or, i would add, the ethical rules of the hpcsa ) cannot be used to enforce the moral, religious or ethical beliefs of some on everyone.