İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
hili halina ubishi.
this is not in dispute.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu.
nay! but they are a quarrelsome people.
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
lakini mwanaadamu amezidi kuliko kila kitu kwa ubishi.
but man is exceedingly contentious.
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
lakini pia hakuna ubishi kuwa wanapinzani waijiandaa kushinda uchaguzi huu.
but there is also no arguing that the protest movement honestly dedicated itself to winning these contests.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu. bali hao ni watu wagomvi!
they cite not him to thee, save to dispute;. nay, but they are a people contentious.
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.
but foolish and unlearned questions avoid, knowing that they do gender strifes.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
lakini, hakuna ubishi kwamba uchambuzi yakinifu wa kiakili ni jambo la lazima.
and no damn intellectual analysis is required.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu zaidi kuliko wengine.
and there was also a strife among them, which of them should be accounted the greatest.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa yohane na myahudi mmoja kuhusu desturi za kutawadha.
then there arose a question between some of john's disciples and the jews about purifying.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
wakasema: miungu yetu kwani si bora kuliko huyu? hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu.
and say: 'what are our gods better, or is he' they do not mention him to you except to dispute, truly, they are a contentious nation.
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu zaidi kuliko wao, na kiapo hicho husuluhisha ubishi wote.
for men verily swear by the greater: and an oath for confirmation is to them an end of all strife.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
lakini jiepushe na ubishi wa kipumbavu, ugomvi na mabishano juu ya sheria. mambo hayo hayana faida yoyote na ni ya bure tu.
but avoid foolish questions, and genealogies, and contentions, and strivings about the law; for they are unprofitable and vain.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
waambie waachane na zile hadithi tupu na orodha ndefu za mababu, ambazo huleta tu ubishi, wala haviwajengi watu katika mpango ujulikanao kwa imani.
neither give heed to fables and endless genealogies, which minister questions, rather than godly edifying which is in faith: so do.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya mungu hayana desturi nyingine.
but if any man seem to be contentious, we have no such custom, neither the churches of god.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
basi, usiiharibu kazi ya mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.
for meat destroy not the work of god. all things indeed are pure; but it is evil for that man who eateth with offence.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
when therefore paul and barnabas had no small dissension and disputation with them, they determined that paul and barnabas, and certain other of them, should go up to jerusalem unto the apostles and elders about this question.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "elimu".
o timothy, keep that which is committed to thy trust, avoiding profane and vain babblings, and oppositions of science falsely so called:
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
hata mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. katika ule ubishi kati yake na ibilisi waliobishana juu ya mwili wa mose, mikaeli hakuthubutu kumhukumu ibilisi kwa matusi; ila alisema: "bwana mwenyewe na akukaripie."
yet michael the archangel, when contending with the devil he disputed about the body of moses, durst not bring against him a railing accusation, but said, the lord rebuke thee.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor