İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
mji mkuu wa mauritania, nouakchott ulishuhudia mapigano kati ya vikosi vya usalama na umati wa "wananchi wenye hasira".
the mauritanian capital nouakchott witnessed violent clashes between security forces and an angry crowd.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
neumann pia anabaini kuwa mwaka 2009 pia ulishuhudia kupitishwa kwa vigezo vya kupima vyenye kasoro ambavyo havizitaki nchi wanachama kupata mapendekezo kutoka kwa asasi huru zisizo za kiserikali zenye makao ndani ya nchi wanachama.
neumann also notes that 2009 saw the passing of a flawed review mechanism which doesn't require member states to seek input from independent ngo's based in their countries.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
ujuzi wa solana umemsaidia kumudu vyema majukumu ya uhariri wa global voices katika kipindi ambacho uandishi wa habari ulishuhudia blogu na mitandao ya kijamii vikigeuka kuwa majukwaa muhimu kuwawezesha wananchi wa kawaida kusema mawazo yao.
solana's deft handling steered global voices' editorial through a rapidly shifting media landscape that saw blogging eclipsed by social networks as the primary platform for citizen expression.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
mwanzo wa msimu wa fasihi ya kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya kisenegali na kifaransa marie n’diaye akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya prix goncourt.
the start of this year's french literary season saw french-senegalese novelist and playwright marie n'diaye awarded a much-awaited prix goncourt.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
matamshi hayo yalirejesha upya mjadala wa suala la ushoga ambalo ndilo lililokaribia kabisa kukifanya chama tawala enzi hizo mmd kumwangamiza kisiasa kiongozi wa upinzani wakati huo, sasa rais wa nchi michael sata, wakati wa kampeni za kuelekea uchaguzi wa mwezi septemba ambao ulishuhudia akimbwaga rais wa zamani rupiah banda.
his statement brought back into focus the issue of homosexuality for which the then ruling mmd nearly destroyed the then opposition leader, now republican president michael sata, during the campaigns leading to last september’s elections which saw him beat former president rupiah banda.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite: