İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
katika wakimbizi 43 duniani kote, wengi wao wanasemekana hawaweza tena kuonana na familia zao tena kwa sababu tu ya kukosa namna ya kuwasiliana nao.
among the 43 million refugees worldwide, a staggering number of people will never see their family again because they simply have no means to reach them.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
waendesha mashitaka wanasemekana kuandaa mashitaka hayo kufuatia tuhuma kwamba wanablogu hayo wamekuwa wakipokea mafunzo na misaada ya kifedha kutoka kwenye vikundi viwili vya kisiasa vyenye asili ya vilivyoko ulaya na marekani.
prosecutors reportedly issued the charge based on accusations that the bloggers had received training and financial support from two ethiopian political groups based in europe and the us.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
wanamgambo wote wenye silaha wanasemekana kuingia kwenye sehemu hiyo ya uwanja iliyokuwa imetengewa kwa ajili ya watu maarufu na shughuli za ndege za hajj, lakini kwa mujibu wa ramani ya uwanja huo, ndege zote huchangia njia moja ya kupaa au kutua.
eighteen people from the airport staff, pakistan's national airline and security forces were also killed.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
kwa mujibu wa tume ya haki za binadamu nchini pakistani, tangu mwaka 2010, miili ya mamia ya wabalochistani "waliopotea" wanasemekana kupoteza maisha wakiwa na majeraha ya kuteswa.
according to the human rights commission of pakistan, since 2010, the bodies of hundreds of balochistan’s “missing people” have turned up dead bearing torture marks.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
wanasemekana waliingia uwanjani humo kwa kutumia vitambulisho bandia vya wanausalama wa uwanja huo wa ndege wakiwa na , silaha kali na mabomu ya kutupa kwa mkono. wafanyakazi wa uwanja wa karachi wakisaidiwa kutoka kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa jinnah. picha ilitwitiwa na @dawn_com mtu mmoja alijitoa mhanga wakati wa shambulizi hilo.
“we are looking into this and according to the families some seven people were trapped inside the cold storage and were in contact with the families on cell phone,” said abid qaimkhani, a spokesman for caa (civil aviation authority).
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite: