Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
yesu alipokuwa yerusalemu kwa sikukuu ya pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya.
mentre era a gerusalemme per la pasqua, durante la festa molti, vedendo i segni che faceva, credettero nel suo nome
wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama yesu alivyokuwa amewaambia. wakaandaa karamu ya pasaka.
i discepoli andarono e, entrati in città, trovarono come aveva detto loro e prepararono per la pasqua
mwambieni mwenye nyumba: mwalimu anakuuliza, kiko wapi kile chumba ambamo nitakula pasaka pamoja na wanafunzi wangu?
e direte al padrone di casa: il maestro ti dice: dov'è la stanza in cui posso mangiare la pasqua con i miei discepoli
"mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu ya pasaka, na mwana wa mtu atatolewa ili asulubiwe."
«voi sapete che fra due giorni è pasqua e che il figlio dell'uomo sarà consegnato per essere crocifisso»
ilikuwa yapata saa sita mchana, siku ya maandalio ya pasaka. pilato akawaambia wayahudi, "tazameni, mfalme wenu!"
era la preparazione della pasqua, verso mezzogiorno. pilato disse ai giudei: «ecco il vostro re!»
siku ya kwanza kabla ya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, wanafunzi walimwendea yesu wakamwuliza, "unataka tukuandalie wapi chakula cha pasaka?"
il primo giorno degli azzimi, i discepoli si avvicinarono a gesù e gli dissero: «dove vuoi che ti prepariamo, per mangiare la pasqua?»
basi, alipofika galilaya, wagalilaya wengi walimkaribisha. maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya pasaka, wakayaona mambo yote yesu aliyotenda huko yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
quando però giunse in galilea, i galilei lo accolsero con gioia, poiché avevano visto tutto quello che aveva fatto a gerusalemme durante la festa; anch'essi infatti erano andati alla festa
jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, kristo, pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.
togliete via il lievito vecchio, per essere pasta nuova, poiché siete azzimi. e infatti cristo, nostra pasqua, è stato immolato
siku ya kwanza ya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, "wataka tukuandalie wapi karamu ya pasaka?"
il primo giorno degli azzimi, quando si immolava la pasqua, i suoi discepoli gli dissero: «dove vuoi che andiamo a preparare perché tu possa mangiare la pasqua?»
ilikuwa kabla ya sikukuu ya pasaka. yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa baba ilikuwa imefika. alikuwa amewapenda daima watu wake walioko duniani; naam, aliwapenda mpaka mwisho!
prima della festa di pasqua gesù, sapendo che era giunta la sua ora di passare da questo mondo al padre, dopo aver amato i suoi che erano nel mondo, li amò sino alla fine
yeye akawajibu, "nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie: mwalimu anasema, wakati wangu umefika; kwako nitakula pasaka pamoja na wanafunzi wangu."
ed egli rispose: «andate in città, da un tale, e ditegli: il maestro ti manda a dire: il mio tempo è vicino; farò la pasqua da te con i miei discepoli»