İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
what it means to faculty
nini maana ya kitivo
Son Güncelleme: 2016-02-22
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
and given the faculty of knowing what is disruptive and what is intrinsic to it.
kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
and if allah willed, he could take away their faculty of hearing and seeing; for allah hath power over all things.
na angelitaka mwenyezi mungu angeliondoa kusikia kwao na kuona kwao. hakika mwenyezi mungu ni muweza wa kila kitu.
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
a degree so suspicious that is feared to be faked, with grammar mistakes and with names signing it who are not even members of the faculty of law!
cheti chenyewe kinatia mashaka makubwa na kinadhaniwa kuwa ni cha kughushi, tena kimejaa makosa ya kiuandishi na wakati huo huo majina yanayoonekana kwenye saini wala si ya yeyote miongoni mwa wanaofundisha katika kitivo cha sheria cha chuo hicho!
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
in the meetup agenda also, a panel on the subject of alternative media in tunisia and a keynote speech on personal data protection by chawki gaddas from the faculty of judicial, political and social sciences of tunis.
katika agenda za mkutano, kadhalika, kutakuwa na mada kuhusu vyombo mbadala vya habari na ulinzi wa data binafsi itakayotolewa na chawki gaddas kutoka kitivo cha sheria, sayansi ya siasa na jamii cha tunis.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans:
a respected legal practitioner and lecturer at the university of ghana, law faculty, dr. raymond atuguba has chillingly revealed that militants in the niger delta region, notorious for blowing up oil pipes, kidnapping and demanding huge ransoms and causing unrest in the oil rich nigerian region have started tripping to ghana in droves.
mwanasheria anayeheshimika na mhadhiri kwenye chuo kikuu cha ghana, kitivo cha sheria, dr. raymond atuguba ameonyesha kwa umakini jinsi wanamgambo wa eneno la delta ya naija, wanaojulikana kwa ukorofi wa kulipua mabomba ya mafuta, kuteka watu nyara na kudai dhamana kubwa na kusababisha vurugu kwenye eneo lenye utajiri wa mafuta nchini naijeria wameanza kuingia ghana kwa makundi.
Son Güncelleme: 2016-02-24
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Referans: