İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
and the mount of sinai,
na kwa mlima wa sinai!
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
by the mount (of revelation);
naapa kwa mlima wa t'ur,
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
jesus went unto the mount of olives.
lakini yesu akaenda kwenye mlima wa mizeituni.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
the two elders of the mount of olives
wazee wawili wanashuka mlima kiyendawili
Son Güncelleme: 2023-11-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
soon will i visit him with a mount of calamities!
nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
and when they had sung an hymn, they went out into the mount of olives.
baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa mizeituni.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
and a tree issuing from the mount of sinai that bears oil and seasoning for all to eat.
na mti utokao katika mlima wa sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
and as he sat upon the mount of olives over against the temple, peter and james and john and andrew asked him privately,
yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa mizeituni akielekea hekalu, petro, yakobo, yohane na andrea wakamwuliza kwa faragha,
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
and when they came nigh to jerusalem, unto bethphage and bethany, at the mount of olives, he sendeth forth two of his disciples,
walipokuwa wanakaribia yerusalemu walifika bethfage na bethania, karibu na mlima wa mizeituni. hapo aliwatuma wawili wa wanafunzi wake,
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
and in the day time he was teaching in the temple; and at night he went out, and abode in the mount that is called the mount of olives.
wakati wa mchana, siku hizo, yesu alikuwa akifundisha watu hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa mizeituni na kukaa huko.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
and when he was come nigh, even now at the descent of the mount of olives, the whole multitude of the disciples began to rejoice and praise god with a loud voice for all the mighty works that they had seen;
alipofika karibu na yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
and as he sat upon the mount of olives, the disciples came unto him privately, saying, tell us, when shall these things be? and what shall be the sign of thy coming, and of the end of the world?
yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa mizeituni, wanafunzi walimwendea faraghani, wakamwuliza, "twambie mambo haya yatatukia lini? ni ishara gani itakayoonyesha kuja kwako na mwisho wa nyakati?"
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
and the mounts of those who feared their lord will be led towards paradise, in groups; to the extent that when they reach it, its gates will be opened and its guards will say to them, “peace be upon you!
na walio mcha mola wao mlezi wataongozwa kuendea peponi kwa makundi, mpaka watakapo fikilia, nayo milango yake imekwisha funguliwa. walinzi wake watawaambia: salaam alaikum, amani iwe juu yenu!
Son Güncelleme: 2014-07-03
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite: