İnsan çevirisi örneklerinden çeviri yapmayı öğrenmeye çalışıyor.
Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
informato dal centurione, concesse la salma a giuseppe
pilato alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu yosefu auchukue mwili wake.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
entrato in cafarnao, gli venne incontro un centurione che lo scongiurava
yesu alipokuwa anaingia mjini kafarnaumu, ofisa mmoja mroma alimwendea, akamsihi
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
c'era in cesarèa un uomo di nome cornelio, centurione della coorte italica
kulikuwa na mtu mmoja huko kaisarea aitwaye kornelio, jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho "kikosi cha italia."
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
il centurione però dava più ascolto al pilota e al capitano della nave che alle parole di paolo
lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema paulo.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
il servo di un centurione era ammalato e stava per morire. il centurione l'aveva molto caro
huko kulikuwa na jemadari mmoja mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
pilato si meravigliò che fosse gia morto e, chiamato il centurione, lo interrogò se fosse morto da tempo
pilato alishangaa kusikia kwamba yesu alikuwa amekwisha kufa. basi, akamwita jemadari, akamwuliza kama yesu alikuwa amekufa kitambo.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
e ordinò al centurione di tenere paolo sotto custodia, concedendogli però una certa libertà e senza impedire a nessuno dei suoi amici di dargli assistenza
kisha akamwamuru yule jemadari amweke paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
visto ciò che era accaduto, il centurione glorificava dio: «veramente quest'uomo era giusto»
hapo, yule jemadari alipoona yaliyotukia akamsifu mungu akisema: "hakika huyu alikuwa mtu mwema."
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
ma poiché i marinai cercavano di fuggire dalla nave e gia stavano calando la scialuppa in mare, col pretesto di gettare le ancore da prora, paolo disse al centurione e ai soldati
wanamaji walitaka kutoroka, na walikwisha kuteremsha ule mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
ma il centurione, volendo salvare paolo, impedì loro di attuare questo progetto; diede ordine che si gettassero per primi quelli che sapevano nuotare e raggiunsero la terra
lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. aliamuru wale waliojua kuogelea waruke kutoka melini na kuogelea hadi pwani,
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
e gesù disse al centurione: «và, e sia fatto secondo la tua fede». in quell'istante il servo guarì
kisha yesu akamwambia huyo ofisa mroma, "nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini." na mtumishi wake akapona saa ileile.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
udito ciò, il centurione corse a riferire al tribuno: «che cosa stai per fare? quell'uomo è un romano!»
yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "unataka kufanya nini? mtu huyu ni raia wa roma!"
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
allora il centurione che gli stava di fronte, vistolo spirare in quel modo, disse: «veramente quest'uomo era figlio di dio!»
jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake aliona jinsi yesu alivyolia kwa sauti na kukata roho, akasema, "kweli mtu huyu alikuwa mwana wa mungu!"
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
il centurione lo prese e lo condusse dal tribuno dicendo: «il prigioniero paolo mi ha fatto chiamare e mi ha detto di condurre da te questo giovanetto, perché ha da dirti qualche cosa»
askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, "yule mfungwa paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia."
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor
fece poi chiamare due dei centurioni e disse: «preparate duecento soldati per andare a cesarèa insieme con settanta cavalieri e duecento lancieri, tre ore dopo il tramonto
basi, mkuu wa jeshi aliwaita askari wawili akawaambia, "wekeni tayari askari mia mbili, wapanda farasi sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.
Son Güncelleme: 2012-05-06
Kullanım Sıklığı: 1
Kalite:
Uyarı: Görünmez HTML biçimlendirmesi içeriyor