来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
aber herodes mit seinem hofgesinde verachtete und verspottete ihn, legte ihm ein weißes kleid an und sandte ihn wieder zu pilatus.
basi, herode pamoja na maaskari wake, wakamwaibisha yesu na kumfanyia mzaha; kisha wakamvika vazi la kifalme, wakamrudisha kwa pilato.
herodes auch nicht, denn ich habe euch zu ihm gesandt, und siehe, man hat nichts auf ihn gebracht, das des todes wert sei.
wala si mimi tu, bali hata herode hakuona kosa lolote, kwa maana amemrudisha kwangu. ni dhahiri kwamba mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo.
an demselben tage kamen etliche pharisäer und sprachen zu ihm: hebe dich hinaus und gehe von hinnen; denn herodes will dich töten!
wakati huohuo, mafarisayo na watu wengine walimwendea yesu wakamwambia, "ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana herode anataka kukuua."
da jesus geboren war zu bethlehem im jüdischen lande, zur zeit des königs herodes, siehe, da kamen die weisen vom morgenland nach jerusalem und sprachen:
yesu alizaliwa mjini bethlehemu, mkoani yudea, wakati herode alipokuwa mfalme. punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika yerusalemu,
er aber, herodes, hatte ausgesandt und johannes gegriffen und ins gefängnis gelegt um der herodias willen, seines bruders philippus weib; denn er hatte sie gefreit.
hapo awali herode mwenyewe alikuwa ameamuru yohane atiwe nguvuni, akamfunga gerezani. herode alifanya hivyo kwa sababu ya herodia ambaye herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa filipo, ndugu yake.
und da petrus zu sich selber kam, sprach er: nun weiß ich wahrhaftig, daß der herr seinen engel gesandt hat und mich errettet aus der hand des herodes und von allen warten des jüdischen volkes.
hapo ndipo petro alipotambua yaliyotukia, akasema, "sasa najua kwa hakika kwamba bwana amemtuma malaika wake akaniokoa kutoka katika mkono wa herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa israeli waliyotazamia."
da aber herodes jesum sah, ward er sehr froh; denn er hätte ihn längst gern gesehen, denn er hatte viel von ihm gehört, und hoffte, er würde ein zeichen von ihm sehen.
herode alifurahi sana alipomwona yesu. alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona yesu akitenda mwujiza.
da herodes nun sah, daß er von den weisen betrogen war, ward er sehr zornig und schickte aus und ließ alle kinder zu bethlehem töten und an seinen ganzen grenzen, die da zweijährig und darunter waren, nach der zeit, die er mit fleiß von den weisen erlernt hatte.
herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. akaamuru watoto wote wa kiume mjini bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.