来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
quanti esseri viventi non si preoccupano del loro nutrimento!
na wanyama wangapi hawawezi kujimilikia riziki zao!
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
così anche voi consideratevi morti al peccato, ma viventi per dio, in cristo gesù
hali kadhalika nanyi lazima mjione kuwa mmekufa kuhusu dhambi, lakini kama mnaoishi katika umoja na mungu kwa njia ya kristo yesu.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
non è un dio dei morti ma dei viventi! voi siete in grande errore»
basi, yeye si mungu wa wafu, bali ni mungu wa walio hai. ninyi mmekosea sana!"
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
allora i ventiquattro vegliardi e i quattro esseri viventi si prostrarono e adorarono dio, seduto sul trono, dicendo
na wale wazee ishirini na wanne, na vile viumbe hai vinne, wakajitupa chini, wakamwabudu mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, "amina! asifiwe mungu!"
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
e i quattro esseri viventi dicevano: «amen». e i vegliardi si prostrarono in adorazione
na vile viumbe vinne hai vikasema, "amina!" na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
e ogni volta che questi esseri viventi rendevano gloria, onore e grazie a colui che è seduto sul trono e che vive nei secoli dei secoli
kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele,
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
durante la visione poi intesi voci di molti angeli intorno al trono e agli esseri viventi e ai vegliardi. il loro numero era miriadi di miriadi e migliaia di migliai
kisha nikatazama, nikasikia sauti ya malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu na maelfu. walikuwa wamekaa kuzunguka kiti cha enzi, vile viumbe hai vinne na wale wazee;
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
allora tutti gli angeli che stavano intorno al trono e i vegliardi e i quattro esseri viventi, si inchinarono profondamente con la faccia davanti al trono e adorarono dio dicendo
malaika wote wakasimama kukizunguka kiti cha enzi, wazee na vile viumbe hai vinne. wakaanguka kifudifudi mbele ya kiti cha enzi, wakamwabudu mungu,
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
fra i suoi segni vi è la creazione dei cieli e della terra e degli esseri viventi che vi ha sparso; egli è in grado di riunire tutti quando lo vorrà.
na katika ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi, na wanyama alio waeneza. naye ni mwenye uweza wa kuwakusanya apendapo.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
davanti al trono vi era come un mare trasparente simile a cristallo. in mezzo al trono e intorno al trono vi erano quattro esseri viventi pieni d'occhi davanti e di dietro
mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
poi vidi ritto in mezzo al trono circondato dai quattro esseri viventi e dai vegliardi un agnello, come immolato. egli aveva sette corna e sette occhi, simbolo dei sette spiriti di dio mandati su tutta la terra
kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe hai vinne, na wale wazee. huyo mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
quando l'agnello sciolse il primo dei sette sigilli, vidi e udii il primo dei quattro esseri viventi che gridava come con voce di tuono: «vieni»
kisha nikamwona mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, "njoo!"
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
e geova dio diceva al serpente: “poiché hai fatto questa cosa, sei il maledetto fra tutti gli animali domestici e fra tutte le bestie selvagge del campo. andrai sul tuo ventre e mangerai polvere tutti i giorni della tua vita. e io porrò inimicizia fra te e la donna e fra il tuo seme e il seme di lei. egli ti schiaccerà la testa e tu gli schiaccerai il calcagno”. alla donna disse: “aumenterò grandemente il dolore della tua gravidanza; con doglie partorirai figli, e la tua brama sarà verso tuo marito, ed egli ti dominerà”. e ad adamo disse: “poiché hai ascoltato la voce di tua moglie e hai mangiato dell’albero circa il quale ti avevo dato questo comando: ‘non ne devi mangiare’, il suolo è maledetto per causa tua. con dolore ne mangerai il prodotto tutti i giorni della tua vita. e ti produrrà spine e triboli, e devi mangiare la vegetazione del campo. col sudore della tua faccia mangerai pane finché tornerai al suolo, poiché da esso sei stato tratto. poiché polvere sei e in polvere tornerai”. dopo ciò adamo mise a sua moglie il nome di eva, perché doveva divenire la madre di tutti i viventi. e geova dio faceva lunghe vesti di pelle per adamo e per sua moglie e li vestiva. e geova dio proseguì, dicendo: “ecco, l’uomo è divenuto simile a uno di noi conoscendo il bene e il male, e ora perché non stenda la mano e realmente prenda anche del frutto] dell’albero della vita e mangi e viva a tempo indefinito, …” allora geova dio lo mandò fuori del giardino di eden, perché coltivasse il suolo dal quale era stato tratto. e così cacciò l’uomo e pose ad oriente del giardino di eden i cherubini e la fiammeggiante lama di una spada che roteava continuamente per custodire la via dell’albero della vita.
na yehova mungu akamwambia nyoka: “kwa sababu umefanya jambo hili, umelaaniwa kati ya wanyama wote wa kufugwa na kati ya wanyama wote wa mwituni. utakwenda kwa tumbo lako na utakula mavumbi siku zote za maisha yako. nami nitaweka uadui kati yako na yule mwanamke na kati ya uzao wako na uzao wake. yeye atakuponda kichwa nawe utamtia jeraha kwenye kisigino.” akamwambia mwanamke: “nitazidisha sana maumivu ya mimba yako; kwa uchungu utazaa watoto, na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.” naye akamwambia adamu: “kwa sababu uliisikiliza sauti ya mke wako ukala matunda ya mti ambao nilikupa amri hii kuuhusu, ‘usile matunda yake,’ udongo umelaaniwa kwa sababu yako. kwa maumivu utakula mazao yake siku zote za maisha yako. nao utakuzalia miiba na mibaruti, nawe utakula mimea ya shambani. kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo. kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.” baada ya hayo adamu akamwita mke wake jina lake hawa, kwa sababu ndiye angekuja kuwa mama ya kila mtu anayeishi. na yehova mungu akawafanyia adamu na mke wake mavazi marefu ya ngozi, akawavika. na yehova mungu akaendelea kusema: “tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya, na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—” kwa hiyo yehova mungu akamwondoa katika bustani ya edeni ili aulime udongo ambao katika huo alikuwa ametolewa. na basi akamfukuza huyo mtu, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya edeni makerubi na upanga unaowaka ambao ulikuwa unajizungusha-zungusha ili kuilinda njia ya kwenda kwenye ule mti wa uzima.