来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.
Той, като чу, че Исус дошъл от Юдея в Галилея отиде при него и Го помоли да слезе и да изцели сина му, защото беше на умиране.
yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri habari njema juu ya ufalme wa mungu. aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu.
Тогава Исус ходеше по цяла Галилея, и поучаваше в синагогите им, и проповядваше благовестието на царството, и изцеляваше всякаква болест и всякаква немощ между людете.
basi, alipofika galilaya, wagalilaya wengi walimkaribisha. maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya pasaka, wakayaona mambo yote yesu aliyotenda huko yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
Прочее, Исус пак дойде в Кана Галилейска, гдето беше превърнал водата на вино. И имаше един царски чиновник, чиито син бе болен в Капериаум.