来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
a bee jedan èovek, po imenu simon, koji pre èarae u gradu i dovodjae u èudo narod samarijski, govoreæi da je on neto veliko;
wakati huo kanisa likawa na amani popote katika yudea, galilaya, na samaria. lilijengwa na kukua katika kumcha bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na roho mtakatifu.
a crkve po svoj judeji i galileji i samariji behu na miru, i napredovahu, i hodjahu u strahu gospodnjem, i umnoavahu se utehom svetog duha.
lakini wakati roho mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika yerusalemu, katika nchi yote ya yudea na samaria, na hata miisho ya dunia."
nego æete primiti silu kad sidje duh sveti na vas; i biæete mi svedoci u jerusalimu i po svoj judeji i samariji i tja do kraja zemlje.
saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua stefano kuwa sawa. siku hiyo kanisa la yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za yudea na samaria.
savle pak bee pristao na njegovu smrt. a u taj dan postade veliko gonjenje na crkvu jerusalimsku, i svi se rasejae po krajevima judejskim i samarijskim osim apostola.