来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
nakuandikia timotheo mwanangu halisi katika imani. nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa mungu baba yetu na kristo yesu bwana wetu.
timotheo neure eguiazco semeari fedean, gratia dela hirequin, misericordia eta baquea iainco gure aitaganic, eta iesus christ gure iaunaganic.
baada ya sila na timotheo kuwasili kutoka makedonia, paulo alianza kutumia wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia wayahudi kwamba yesu ndiye kristo.
eta ethorri ciradenean macedoniaric silas eta timotheo, paulec spirituaz hersturic testificatzen cerauen iuduey iesus cela christ.
na kumtuma kwenu ndugu yetu timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya mungu katika kuhubiri habari njema ya kristo. tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
eta igorri vkan dugu timotheo gure anaye eta iaincoaren ministrea eta christen euangelioan gure aiutaçalea, çuen confirmatzera eta exhortatzera çuen fedearen gainean:
sasa timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
eta heuraguiric eztuela ethorri cenean timotheo çuetaric guregana, eta declaratu cerauzquigunean çuen fedea eta charitatea, eta nola duçuen guçaz memorio ona bethiere, desiratzen gaituçuelaric ikustera, guc-ere çuec beçala:
paulo alifika derbe na lustra, ambako aliishi mfuasi mmoja aitwaye timotheo. mama yake ambaye pia alikuwa mfuasi, alikuwa myahudi; lakini baba yake alikuwa mgiriki.
guero arriua cedin derbera eta lystrara: eta huná, discipulubat cén han timotheo deitzen cenic, emazte fidel baten seme, baina, aita grec-baten.
sopatro, mwana wa pirho kutoka berea, aliandamana naye; pia aristarko na sekundo kutoka thesalonika, gayo kutoka derbe, timotheo, tukiko na trofimo wa mkoa wa asia.
eta lagund ceçan hura sopater beroenesac asiarano: eta thessaloniceanoetaric, aristarquec eta secondec, eta gaio derbianoac, eta timotheoc: eta asianoetaric, tychiquec eta trophimec.
maana kristo yesu, mwana wa mungu, ambaye mimi, silwano na timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "ndiyo" na "siyo"; bali yeye daima ni "ndiyo" ya mungu.
ecen iaincoaren seme iesus christ guçaz çuen artean predicatu içan dena, niçaz eta syluanoz eta timotheoz, ezta içan bay eta ez, baina bay hartan içan da: