来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
na kubomoa kila kizuizi cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii kristo.
distruggendo i ragionamenti e ogni baluardo che si leva contro la conoscenza di dio, e rendendo ogni intelligenza soggetta all'obbedienza al cristo
mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile ibilisi alivyohukumiwa.
inoltre non sia un neofita, perché non gli accada di montare in superbia e di cadere nella stessa condanna del diavolo
husema maneno ya majivuno na yasiyo na maana, na kutumia tamaa zao mbaya za kimwili kuwatega wale ambao wamejitenga hivi karibuni na watu waishio katika udanganyifu.
con discorsi gonfiati e vani adescano mediante le licenziose passioni della carne coloro che si erano appena allontanati da quelli che vivono nell'errore
lakini, kusudi mambo haya makuu niliyofunuliwa yasinifanye nilewe majivuno, nilipewa maumivu mwilini kama mwiba, mjumbe wa shetani mwenye kunipiga nisijivune kupita kiasi.
perché non montassi in superbia per la grandezza delle rivelazioni, mi è stata messa una spina nella carne, un inviato di satana incaricato di schiaffeggiarmi, perché io non vada in superbia
huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,
costui è accecato dall'orgoglio, non comprende nulla ed è preso dalla febbre di cavilli e di questioni oziose. da ciò nascono le invidie, i litigi, le maldicenze, i sospetti cattivi
lakini, bwana akipenda, nitakuja kwenu upesi; na hapo ndipo nitakapojionea mwenyewe, sio tu kile wanachoweza kusema hao wenye majivuno, bali pia kila wanachoweza kufanya.
ma verrò presto, se piacerà al signore, e mi renderò conto allora non gia delle parole di quelli, gonfi di orgoglio, ma di ciò che veramente sanno fare
watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
gli uomini saranno egoisti, amanti del denaro, vanitosi, orgogliosi, bestemmiatori, ribelli ai genitori, ingrati, senza religione
kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana maandiko matakatifu yasema: "mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu."
ugualmente, voi, giovani, siate sottomessi agli anziani. rivestitevi tutti di umiltà gli uni verso gli altri, perché ma dà grazia agli umili