来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
hao watu walikuwa wametumwa na mafarisayo.
et qui missi fuerant erant ex pharisaei
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
mafarisayo walipokusanyika pamoja, yesu aliwauliza,
congregatis autem pharisaeis interrogavit eos iesu
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
mafarisayo wakawauliza, "je, nanyi pia mmedanganyika?
responderunt ergo eis pharisaei numquid et vos seducti esti
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa mafarisayo.
adducunt eum ad pharisaeos qui caecus fuera
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
basi, mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza yesu.
exeuntes autem pharisaei consilium faciebant adversus eum quomodo eum perderen
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
mafarisayo waliposikia kwamba yesu alikuwa amewanyamazisha masadukayo, wakakutana pamoja.
pharisaei autem audientes quod silentium inposuisset sadducaeis convenerunt in unu
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
"walimu wa sheria na mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua sheria ya mose.
dicens super cathedram mosi sederunt scribae et pharisae
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
kulikuwa na kiongozi mmoja myahudi, wa kikundi cha mafarisayo, jina lake nikodemo.
erat autem homo ex pharisaeis nicodemus nomine princeps iudaeoru
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
baadhi ya mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wametoka yerusalemu walikusanyika mbele ya yesu.
et conveniunt ad eum pharisaei et quidam de scribis venientes ab hierosolymi
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
mafarisayo na masadukayo walimwendea yesu, na kwa kumjaribu, wakamwomba afanye ishara itokayo mbinguni.
et accesserunt ad eum pharisaei et sadducaei temptantes et rogaverunt eum ut signum de caelo ostenderet ei
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa mafarisayo aliyemwamini?
numquid aliquis ex principibus credidit in eum aut ex pharisaei
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
makuhani wakuu na mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.
dederant autem pontifices et pharisaei mandatum ut si quis cognoverit ubi sit indicet ut adprehendant eu
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya mafarisayo na masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili.
et cum haec dixisset facta est dissensio inter pharisaeos et sadducaeos et soluta est multitud
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
yesu akawaonya, "angalieni sana! jihadharini na chachu ya mafarisayo na chachu ya herode."
et praecipiebat eis dicens videte cavete a fermento pharisaeorum et fermento herodi
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
yesu akawauliza walimu wa sheria na mafarisayo, "je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"
et respondens iesus dixit ad legis peritos et pharisaeos dicens si licet sabbato curar
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
hapo baadhi ya mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia yesu, "mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!"
et quidam pharisaeorum de turbis dixerunt ad illum magister increpa discipulos tuo
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
hata hivyo, wengi wa viongozi wa wayahudi walimwamini yesu. lakini kwa sababu ya mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.
verumtamen et ex principibus multi crediderunt in eum sed propter pharisaeos non confitebantur ut de synagoga non eicerentu
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
basi, mafarisayo wakaambiana, "mnaona? hatuwezi kufanya chochote! tazameni, ulimwengu wote unamfuata."
pharisaei ergo dixerunt ad semet ipsos videtis quia nihil proficimus ecce mundus totus post eum abii
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
kisa chenyewe kilikuwa hiki: masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. lakini mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
sadducaei enim dicunt non esse resurrectionem neque angelum neque spiritum pharisaei autem utrumque confitentu
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
basi, mafarisayo na walimu wa sheria wakamwuliza yesu, "mbona wanafunzi wako hawayajali mapokeo tuliyopokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono najisi?"
et interrogant eum pharisaei et scribae quare discipuli tui non ambulant iuxta traditionem seniorum sed communibus manibus manducant pane
最后更新: 2012-05-04
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式