来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
kas siis teda, kes on aabrahami tütar, keda saatan, vaata, kaheksateistkümmend aastat on sidunud, ei pidanud päästetama sellest köidikust hingamispäeval?”
hapo, yesu akamwambia, "nenda zako shetani! imeandikwa: utamwabudu bwana mungu wako na kumtumikia yeye peke yake."
siis jeesus ütles temale: „tagane minust, saatan! sest on kirjutatud: sina pead issandat, oma jumalat kummardama ja ükspäinis teda teenima!”
lakini yesu akageuka, akamwambia petro, "ondoka mbele yangu shetani! wewe ni kikwazo kwangu. mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"
aga ta pöördus ja ütles peetrusele: „tagane minust, saatan! sa oled mulle pahanduseks; sest sa ei mõtle sellele, mis on jumala, vaid mis on inimeste meelt mööda!”
basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani gogu na magogu. shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
ja ta läheb välja eksitama rahvaid, kes elavad ilmamaa neljas nurgas, googi ja maagoogi, neid sõtta koguma. nende arv on nagu mereäärne liiv!
utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa shetani, wamgeukie mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa mungu.
avama nende silmi, et nad pimedusest pöörduksid valguse poole ja saatana võimuse alt jumala poole ning saaksid pattude andeksandmist ja osa nende seas, kes on pühitsetud usu läbi minusse!