来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
blogu hii ina vionjo vya mirindimo vya ziara hii kama video inayomwonyesha mwanamuziki wa kikameruni akimshabikia barack obama kwenye uchaguzi imewekwa pale.
this blog also gives a rythmic flavour to this visit as the video of a cameroonian musician hailing barack obama on his election is posted there.
wakati pekee ambao dar es salaam ilishuhudia umati mkubwa wa watu ni wakati wa ziara ya raia wa marekani barack obama alipozuru nchi hiyo mwaka 2013.
the only other time dar es salaam had witnessed such a huge crowd was when u.s. president barack obama visited the country in 2013.
wiki iliyopita, hotuba iliyotolewa na rais wa marekani barack obama kuhusiana na uraia ilizua mjadala mkubwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini china.
last week, a speech by u.s. president barack obama on the value of engaged citizenship made waves in chinese social media.
rais wa marekani barack obama amemaliza ziara yake ya siku sita katika nchi tatu za kiafrika, senegali, afrika kusini na tanzania, mnamo julai 2, 2013.
us president barack obama finished his six-day tour of three african countries, senegal, south africa and tanzania, on july 2, 2013.
katika moja ya jumbe zake za hivi karibuni, alitumia "nina ndoto" kama picha ya nyuma ya mchoro wake wa barack obama, rais wa 44 wa marekani.
in one of his recent posts, he used 'i have a dream' as a backdrop for his illustration of barack obama, the 44th president of the united states.
dar es salaam, ambao ni mji mkuu wa kibiashara wa tanzania, unarejea katika hali yake ya kawaida baada ya siku mbili za kuwa mwenyeji wa mtu anayeaminika kuwa mwenye mvuto mkubwa duniani, rais wa marekani, barack obama.
dar es salaam, tanzania's commercial capital, is getting back to normal after two days in which the city found itself playing host to arguably the most powerful man on earth: president barack obama of the united states.
kwa mujibu wa usaid, msukumo wa kuja na wazo hili la mazungumzo ya mtandaoni, lilitokana na hotuba aliyoitoa rais barack obama mwezi juni mwaka 2009 jijini cairo, misri, ambapo alisema kwamba angefanya juhudi kuhamasisha ushirikiano miongoni mwa binadamu duniani.
according to usaid, the inspiration for the online event is a speech president barack obama gave in cairo in june 2009 in which he said he would promote partnership with the rest of the world.
blogu ya pamoja ya up station mountain club, pia ina makala nyingine - barack obama akiwa afrika: “zaidi ya ndio tunaweza”, ndio tunalazimika, kutoka kwa mwanablogu wa kikameruni aloysius agendia anayewasihi waafrika wafanye mabadiliko:
the up station mountain club, collective blog also carries a post - barack obama in africa: "beyond yes we can", yes we must, from cameroonian blogger aloysius agendia in which he exhorts africans to make a change: