来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
upatikanaji wa mtandao wa intaneti usiotabirika ni kikwazo kikubwa kinachochangiwa na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara linalowakabili raia wa libya.
patchy internet connections are a major hurdle, as are the frequent power outages that libyans face.
mahakama hii iliamua kwamba nchi ya italia ilikiuka sheria za mkataba wa ulaya wa haki za binadamu ilipowakamata wakimbizi waeritrea na wasomali na kuwarudisha libya.
on february 23, 2012, the european court of human rights in strasbourg has come to a historic judgment, that italy violated the european convention on human rights by intercepting and sending back eritrean and somali migrants to libya.
anaogopeshwa na habari kama hii ya hivi karibuni ya kuchinjwa kwa watu kadhaa nchini libya na kundi la isis, na anaamini kuwa kwa kuwaelimisha watoto wa libya kutasaidia kukomesha kuenea kwa ukatili huu.
she's worried about news like the recent beheading of a group of men in libya at the hands of isis, and she hopes that educating libyan children will help stop the spread of radicalization.
katika kipindi ambacho libya ilikuwa ikiharibiwa vibaya kutokana na mapinduzi yaliyotokea mwaka 2011, ndicho kipindi hicho hicho haifa el-zahawi aliondoka kuelekea marekani.
as libya was torn apart by a revolution in 2011, haifa el-zahawi left the country for the united states.
video hii ya dakika tatu inadaiwa kuonesha kukatwa kichwa kwa steven sotloff, ambaye amekuwa akifanya kazi sehemu hatari katika maeneo mbalimbali ya mashariki ya kati kama vile bahrain, syria, egypt, libya na uturuki.
the three-minute video allegedly shows the beheading of steven sotloff, whose work in hotspots across the middle east has taken him to bahrain, syria, egypt, libya and turkey.
the us says an air strike in iraq has killed an islamic state (is) militant linked to an attack on a us diplomatic compound in libya three years ago. the pentagon says ali awni al-harzi died on 15 june in the city of mosul, which is controlled by is. he was designated as a terrorist by the us treasury and state department. the us ambassador to libya, christopher stevens, was among four americans killed in the benghazi attacks in september 2012. us officials blamed the attack on militants linked to al-qaeda. the pentagon described harzi as "a person of interest" in the attack on the us compound. it said he was an organisational intermediary who operated closely with extremists linked to is - also known as isil or isis - throughout north africa and the middle east. "his death degrades isil's ability to integrate north african jihadists into the syrian and iraqi fight and removes a jihadist with long ties to international terrorism," pentagon spokesman colonel steve warren said. the bbc's barbara plett usher in washington says the us is deeply concerned about the spread of is affiliates, especially in libya, though it has so far restricted its military campaign to the group's heartland in syria and iraq.
crisis