来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
jeshi la pilisi nchini comoro limesema linawashikilia watu wanaosemekana kuwa wahaini raia wa kongo na chadi kwa tuhuma za jaribio la kuiangusha serikali lililofanyika mwisho wa wiki.
comoros police forces state that they have arrested congolese and chadian mercenaries in an attempted coup over the week-end.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
rebecca aliongeza kuwa, mradi ya kuandaa safu ya haki za digitali uliungwa mkono katika majadiliano yaliyofanyika katika kongamano la mwaka 2012 la global voices lililofanyika nairobi, kenya.
rebecca added that ranking digital rights was inspired by a conversation that took place at the 2012 global voices summit in nairobi, kenya.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
mkutano wa mwaka 2015 ulihusisha siku nne za mikutano ya ndani, na ulihitimishwa kwa kongamano la wazi lililofanyika katika jengo la provincial capitol la mamlaka ya jiji la cebu lililojadili dhana kuu ya uhuru wa mtandao wa intaneti.
the 2015 summit included four days of internal meetings, and culminated in a public conference at the cebu provincial capitol on the theme of the open internet: local perspectives, global rights.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
mgombea urais wa upinzani, jenerali (mstaafu) muhammadu buhari akiongea kwenye kongamano la raia wa afrika wanaoishi ughaibuni lililofanyika katika jiji la london.
the main opposition candidate general (rtd) muhammadu buhari speaking at african diaspora conference in london.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
kongamano la sauti za dunia linalofanyika kila baada ya miaka miwili lililofanyika mwaka huu jijini nairobi nchini kenya, lilikuwa ni tukio lililokuwa na muitikio mkubwa na morali ya hali ya juu kiasi cha kushindwa kufananishwa na tukio jingine na lililotusaidia kuweka mikakati ijayo ya mtandao wa sauti za dunia.
gv’s biannual summit, held this year in nairobi, kenya was an event of unparalleled participation and energy, and helped us to set the course for gv’s future.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
mitandao ya kijamii imefanya kazi kubwa katika kusambaza habari za shambulio la kigaidi lililofanyika kwenye jengo la westgate, nairobi, kenya, lakini hata hivyo taarifa hizo zisizothibitishwa zilisambaa mithili ya mwale wa radi, iwe ni kutoka serikalini, kwa magaidi wenyewe, waandishi wa habari na hata raia wa kawaida katika mitandao ya facebook na twitter.
social media played a major role in the dissemination of news about the terrorist attack on westgate mall in nairobi, kenya, but unverified information spread with lightning speed, including from government, terrorists, journalists and citizens on facebook and twitter.
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量: