来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
dhana ya uraia unaweza kuwa na maana zaidi ya kuwa na uhuru wa kufikiri na kuunda mawazo ambayo yanatofautiana na propaganda za serikali ya china.
a sense of citizenship may mean more than thinking independently and forming opinions that differ from the propaganda of the chinese government.
mwaka 2010 mtandao wa facebook ulizuiwa kwa muda kufuatia mashitaka ya propaganda chafu dhidi ya waziri mkuu zilizodaiwa kusababisha usumbufu wa hisia za kidini kwa watu.
in 2010, facebook was temporarily blocked for sometime on charges of malicious propaganda against the prime minister and hurting religious feelings.
vyombo rasmi vya habari nchini urusi na ukraine vinachochea misuguano, wakati waandishi na wanaharakati wa mtandaoni wanatumia mtandao wa intaneti kupambana dhidi ya upotoshaji wa taarifa na propaganda.
official media in both russia and ukraine is fueling disagreements, while journalists and digital activists are making use of the web to fight back against misinformation and propaganda.
akiwa mmoja wapo wa waandishi bora kabisa nchini yemeni, samia al-agbhari anashambuliwa mno na propaganda za vyombo vya habari na kumtishia kufuatia msimamo wake wa kishujaa.
one of the best female writers in yemen, samia al-agbhari is facing a media propaganda attack and threatened for her brave stance.
anapendekeza vyanzo mbadala vya mtandaoni kwa minajili ya kuchunguza taarifa, ikiwa ni pamoja na elperiodistacivico.com, wakati huu ambao kuna upotoshwaji wa taarifa na propaganda zinawakwamisha wale wanaojaribu kuelewa hali halisi ya matukio yanayoendelea.
she recommends alternative online news sources that focus on fact-checking, including elperiodistacivico.com, at a moment when disinformation and propaganda is confounding those trying to make sense of events.
televisheni ya taifa ya jordan ilitaarifu kuwa, al-kaseasbeh inadhaniwa kuwa aliuawa tarehe 3 januari, lakini kwa namna video hii inavyoonekana, imewashitua wengi ambao hawakutaka propaganda za isis kurejesha kumbukumbu yake.
jordan state tv reported that al-kaseasbeh was allegedly killed on january 3, but the nature of today's video was a shock to many, who refused to let isis propaganda cast a shadow on his memory.
derakshan anashitakiwa kwa "kushirikiana na dola adui, kupiga propaganda dhidi ya utawala wa kiislamu, kudhihaki utakatifu wa kidini, na kuandaa propaganda kwa ajili ya vikundi vinavyopinga mapinduzi."
derakhshan has been accused of “collaborating with enemy states, creating propaganda against the islamic regime, insulting religious sanctity, and creating propaganda for anti-revolutionary groups.”
(...) kuna nafasi ambayo mpaka sasa haijatumiwa ipasavyo na vyama vya siasa nchini msumbiji, iwe ni kwa ajili ya kueneza propaganda za kisiasa au kufanya kampeni za uchaguzi: nalo ni mtandao wa intaneti.
(...) there is a space that until now has been little explored by the national political forces, be it for political propaganda or electoral campaigns: the internet.