来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
ras babi babiker, kadhalika anaomboleza kifo cha saleh kwa kutukumbusha ile riwaya iliyolikuza jina lake katika ulimwengu wa kisasa wa fasihi ya kiarabu.
ras babi babiker mourned saleh's passing too by reminding us about the great novel that made him a major name in the world of modern arabic literature.
hadithi ya maisha magumu ya mustafa akiwa ulaya na hasa uhusiano wake wa kimapenzi na mwanamke wa kiingereza, ndiyo unachukua nafasi ya kati katika riwaya hiyo.
the story of mustafa's troubled past in europe and in particular his love affair with a british woman, forms the center of the novel.
mshindani mwingine katika kigezo hiki ni han han, mwandishi wa riwaya mwenye ufanisi mkubwa ambaye pia ni dereva wa magari ya mashindano wa huko china ambaye ametokea kuwa mwanablogu aliyesomwa sana nchini china na mshiriki katika shindano la 100 bora wa gazeti la time.
another contender of this category is han han, a prolific novelist and race car driver from china who happens to be china's most read blogger and a contender for time magazine's top 100 list.
baada ya malalamiko kuhusu hali mbaya ya usalama wa afya kwenye uwanja wa ndege wa khartoum, msudani mwenye matumaini anaomboleza kifo cha mwandishi mashuhuri wa riwaya, al- tayeb saleh.
after a frustrated rant about khartoum international airport's unhygienic condition, sudanese optimist mourned the passing of the respected and well-known sudanese novelist, al-tayeb saleh.
mwanablogu wa jamaika aishiye ughaibuni geoffrey philp anataarifu kuwa robert antoni, mwandishi wa kitabu cha "as flies to whatless boys", ameshinda tuzo ya one caribbean media bocas 2014 kwa fasihi ya nchi za 'caribbean' wakati blogu ya 'repeating islands' ikichapisha pitio la kitabu riwaya yake hapa.
jamaican diaspora litblogger geoffrey philp reports that robert antoni, author of "as flies to whatless boys", has won the 2014 one caribbean media bocas prize for caribbean literature, while repeating islands republishes a review of his novel, here.