来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake."
to him give all the prophets witness, that through his name whosoever believeth in him shall receive remission of sins.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
paulo na barnaba waliendelea kukaa huko kwa muda mrefu. waliongea kwa uhodari juu ya bwana, naye bwana akathibitisha ukweli wa ujumbe walioutoa juu ya neema yake, kwa kuwawezesha kutenda miujiza na maajabu.
long time therefore abode they speaking boldly in the lord, which gave testimony unto the word of his grace, and granted signs and wonders to be done by their hands.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
hata hivyo, paulo na barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, "ilikuwa ni lazima neno la mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine.
then paul and barnabas waxed bold, and said, it was necessary that the word of god should first have been spoken to you: but seeing ye put it from you, and judge yourselves unworthy of everlasting life, lo, we turn to the gentiles.
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式